Instructions ndiyo mtihani wenyewe. Ukishafeli kuyaelewa maelekezo na kila kitu umekosa.
Mtu anazungumzia Mapinduzi wewe unaleta za tff. Yeye akusaidieni nini!
Kwanini usianzishe thread yako ukawahoji hao Tff.
Nb: Unakuwa na akili za kijinga kama shabiki wa Yanga ambao kila ukiongea nao ilikuwaje wakatolewa mapinduzi cup jibu lao tuliwafunga simba 5 sasa unashangaa kuna uhusiano gani