K KISIWAGA JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 8,022 Reaction score 16,563 Nov 13, 2020 #41 FUSO said: Wasije wakapendekeza tuanze kutumia Nationa ID number kujisajili humu.... ha ha ha Click to expand... Hilo JF hawawezi kulikubali na itabidi wana JF tutafute njia nyingine kumchana Jiwe
FUSO said: Wasije wakapendekeza tuanze kutumia Nationa ID number kujisajili humu.... ha ha ha Click to expand... Hilo JF hawawezi kulikubali na itabidi wana JF tutafute njia nyingine kumchana Jiwe
djzmpr70 JF-Expert Member Joined Oct 25, 2020 Posts 224 Reaction score 153 Nov 13, 2020 #42 Mzingo said: Mimi,Ninafaidika kwa kupata taarifa mbalimbali ndani ya muda mfupi. Wewe nusaidie jinsi JF inavyoingiza fedha Click to expand... Kumbuka huingii bure humu unatumia data. Wanajua wanavyogawana data na watu wa mitandao. Jiulize Youtube unaagalia bure wanapataje fedha.
Mzingo said: Mimi,Ninafaidika kwa kupata taarifa mbalimbali ndani ya muda mfupi. Wewe nusaidie jinsi JF inavyoingiza fedha Click to expand... Kumbuka huingii bure humu unatumia data. Wanajua wanavyogawana data na watu wa mitandao. Jiulize Youtube unaagalia bure wanapataje fedha.