Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Kamati ya Miss Universe Tanzania chini ya Mkurugenzi na muandaaji wa Shindano hilo Maria Sarungi-Tsehai inawakaribisha Warembo wote kwenye usahili wa MISS UNIVERSE Tanzania 2017.
Vigezo ni:
- Msichana wa miaka 18 -25 - Raia wa Tanzania - Hajaolewa wala hajazaa
- Mwenye mvuto - Anayejiamini na kujitambua Unaweza kuwasiliana na waandaaji kupitia namba 0753103829.
Usahili utafanyika Arusha, Mwanza, Iringa, Mbeya na Dar-es-Salaam.