Kamati ya roho mbaya Simba SC chini ya Gentamycine yachakazwa na kakamati kadogo ka roho mbaya ka Mtibwa Sugar

Kamati ya roho mbaya Simba SC chini ya Gentamycine yachakazwa na kakamati kadogo ka roho mbaya ka Mtibwa Sugar

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Wakuu kuna mdau humu ndani anajiita GENTAMYCINE huyu amekuwa akijinasibu kwamba yeye ni mtaalamu wa figisu za aina zote,yaani kama angekuwa mwanajeshi tungesema ni kamanda wa kikosi cha SEAL (Sea,Air and Land)Namaanisha ukimsikiliza.

Za ndani baada ya kuandika maandiko kibao juu ya FIGISU ambazo zinaweza kufanywa hatimanae GENTAMYCINE aliitwa katika ofsi ya CEO wa Simba Sc na kukabidhiwa MILLION 50 kwa ajili ya kufanya Kila aina ya figusu kwa michezo mitano iliyopo mbele ya Simba.

Jamaa kaanza na MTIBWA SUGAR katafuta waganga anaowaita nguli pale Zanzibar,Bagamoyo na Kigoma ili wacheze mechi ya Mtibwa Sugar.Cha kushangazwa kila walilofanya halikufua dafu (hawakumwambia Popoma wao).

Jamaa anawapigia simu mpaka sasa wamemblock,CEO anataka kujua what's wrong??Genta hana majibu kavurugwa na sare🤣🤣🤣.

USHAURI KWA GENTAMYCINE NA GENGE LAKO.

1.Mpira siyo uchawi,Mtegemee Mungu kila kitu kitakaa sawa.

2.Mkubali mna timu mbovu kuanzia kocha mpka wachezaji next time sajili wachezaji wa kueleweka siyo hawa wahuni (hii itapunguza vifo ambavyo timu yenu imekuwa ikisababisha)

3.Pungezeni mdomo kwa kukariri matokeo ya msimu uliopita.

4.Rudisha hizo pesa kwa CEO aongezee kwenye pesa ya Uwanja (Nadharia).

5.Mmekuwa kama waganga wa kienyeji kutwa kucha kutabiri Yanga kupoteza,Kubalini Yanga ni Timu bora Ili mpate raha mnayoikosa kwa kumtegemea Bocco🤣🤣🤣.

6 Mliekuwa mnamtaka (mnamuimba)kacheza leo na kabanwa p.umb.u na wahuni.Msiwe mnakurupuka kusajili na kurudisha mizee.

Nipo Kigamboni njooni mnipige
 
Pongezi kwa Thobias Kifaru Mgalambwike, kaweza kuwin fitna zote za nje ya mchezo mpaka mchezo wenyewe dimbani, kongole kwake.
 
Hakuna maajabu mbona mkuu...mnaongoza ligi ila hamjiamini..au kitete cha kuukosa ubingwa miaka minne kinawatia nyege kiasi kwamba kama hamuamini hivi..
 
Hawa makolo wana maisha magumu Sana kwa sasa, awataki kukubali ukweli kwamba yanga kwa sasa ni moto wa kuotea mbali maana mpira unachezwa adharani roho mbaya na wivu wao auwezi kuwasaidia chochote bali wataendelea kuumia moyoni wakati wananchi wakiendelea kukusanya point moja baada ya nyingine, alafu wataendelea kuimba gsm anahonga mpaka watakapoona ndoo inatua jangwani
 
Hawa makolo wana maisha magumu Sana kwa sasa, awataki kukubali ukweli kwamba yanga kwa sasa ni moto wa kuotea mbali maana mpira unachezwa adharani roho mbaya na wivu wao auwezi kuwasaidia chochote bali wataendelea kuumia moyoni wakati wananchi wakiendelea kukusanya point moja baada ya nyingine, alafu wataendelea kuimba gsm anahonga mpaka watakapoona ndoo inatua jangwani
😆😆😆😆wanakwambia kesho Yanga anapoteza wanadhani Yanga hii inamtegemea KIBU
 
Mkuu kama upo kigamboni njoo hapa Escrow Bar njia panda ya kibada unywe beeeerrr
Asante sana boss wangu
Unamanisha hata ukisikia wamekufa ni sawa pia
Wakifa nitawaona wapi tena wakiteseka?Bora wawe hai niendelee kufurahi.Kama hivi GENTAMYCINE anaupita uzi kama kituo cha polisi,ndo kuteseka huko sasa mi nafurahi🤣🤣🤣
 
Shida ipo hapa

Mo (1).png
 
Wakuu kuna mdau humu ndani anajiita GENTAMYCINE huyu amekuwa akijinasibu kwamba yeye ni mtaalamu wa figisu za aina zote,yaani kama angekuwa mwanajeshi tungesema ni kamanda wa kikosi cha SEAL (Sea,Air and Land)Namaanisha ukimsikiliza.

Za ndani baada ya kuandika maandiko kibao juu ya FIGISU ambazo zinaweza kufanywa hatimanae GENTAMYCINE aliitwa katika ofsi ya CEO wa Simba Sc na kukabidhiwa MILLION 50 kwa ajili ya kufanya Kila aina ya figusu kwa michezo mitano iliyopo mbele ya Simba.

Jamaa kaanza na MTIBWA SUGAR katafuta waganga anaowaita nguli pale Zanzibar,Bagamoyo na Kigoma ili wacheze mechi ya Mtibwa Sugar.Cha kushangazwa kila walilofanya halikufua dafu (hawakumwambia Popoma wao).

Jamaa anawapigia simu mpaka sasa wamemblock,CEO anataka kujua what's wrong??Genta hana majibu kavurugwa na sare🤣🤣🤣.

USHAURI KWA GENTAMYCINE NA GENGE LAKO.

1.Mpira siyo uchawi,Mtegemee Mungu kila kitu kitakaa sawa.

2.Mkubali mna timu mbovu kuanzia kocha mpka wachezaji next time sajili wachezaji wa kueleweka siyo hawa wahuni (hii itapunguza vifo ambavyo timu yenu imekuwa ikisababisha)

3.Pungezeni mdomo kwa kukariri matokeo ya msimu uliopita.

4.Rudisha hizo pesa kwa CEO aongezee kwenye pesa ya Uwanja (Nadharia).

5.Mmekuwa kama waganga wa kienyeji kutwa kucha kutabiri Yanga kupoteza,Kubalini Yanga ni Timu bora Ili mpate raha mnayoikosa kwa kumtegemea Bocco🤣🤣🤣.

6 Mliekuwa mnamtaka (mnamuimba)kacheza leo na kabanwa p.umb.u na wahuni.Msiwe mnakurupuka kusajili na kurudisha mizee.

Nipo Kigamboni njooni mnipige
Nimegundua unapenda sana Utani na Kutaniana nami hapa JamiiForums jambo ambalo hata Mimi nalipenda pia.

Niwe mkweli Kwako ni kweli kuwa tokea Juzi nimekuwa nikiandika Mada hapa JamiiForums kuwaomba Simba SC wakiimarishe Kitengo chao cha Umafia kwani Kimepwaya sana na Kuzidiwa na kile cha Yanga SC na kuwaomba wakiweza wanipe Mimi na Watu wangu Sita ( 6 ) Yanga SC hatouchukua huu Ubingwa.

Mkuu sijaonana na CEO wa Simba SC yangu Barbara Gonzalez wala hata kupokea Pesa yoyote ile ya kufanya Umafia dhici ya Mechi na Mtibwa Sugar FC ya Leo pale Manungu Turiani Mkoani Morogoro.

Kuthibitisha hilo Kwako / Kwenu leo hapa hapa JamiiForums nilikuja na Uzi wa Kuulaumu Uongozi wa Simba SC kuruhusu Timu ipite barabara ambaye tulishategwa Kindumba ( Kiuchawi ) na Mtibwa Sugar FC na hadi nikasema hii Mechi itakuwa Ngumu Kwetu huku nikimjibu Mmoja wa Member Maarufu hapa JamiiForums kuwa kwa hali na Mazingira Ushindi wa Simba SC leo ni ama Sare ( Suluhu ) au Kufungwa ila Kushinda itakuwa ni Ngumu na imekuwa kama nilivyotabiri.

Mwisho GENTAMYCINE katika Kuipigania Simba SC Kimafia sihitaji Malipo / Fadhila yoyote ya Peda ( Fedha ) kwani ningetaka Malipo nadhani Umafia nilioufanya na akina Idi Kajuna, Ndanje, Juma Nkamia ( Mheshimiwa ), Crescetius Magori, Kassim Dewji KD na Marehemu Zacharia Hanspoppe mpaka Yanga SC Kufungwa Goli 5 na zile 4 na Simba SC na zile za Kumfunga Mwarabu Al Ahly Taifa ningewadai ila tulifanya kwa Mapenzi yetu kwa Simba SC kama ambavyo Baba yake Mzazi aliyewahi kuwa Beki wetu Katili Amri Said 'Stam' Mzee Said alivyojitolea eneo lake Kubwa ( Uwanja wake Binafsi ) wa Bunju kwa kuwapa Simba SC na leo Tajiri Mo Dewji na Wana Simba SC wameuendeleza na Kuitwa Mo Simba Arena na Mzee wa Watu hakudai na hajadai Malipo yoyote au Fadhila zozote.

Kitengo cha Umafia cha Simba SC kikiimarishwa, kukiwa na Usiri, Umakini, Sacrifice na Ushujaa nakuhakikishia Mkuu Yanga SC hawauchukui huu Ubingwa na GENTAMYCINE najiamini 100% juu ya hili kwakuwa nawajua Yanga SC ndani nje na njia zote wanazopita ila Viongozi wa sasa wa Simba SC ni Wabishi halafu wana Dharau na Uzungu mwingine hivyo na Sisi tunawaachia wahangaike na Mfupa Mgumu ambao sasa unawashinda Kuutafuna.
 
Mkuu kama upo kigamboni njoo hapa Escrow Bar njia panda ya kibada unywe beeeerrr
Bila shaka mkimaliza Kunywa Bia ( Beer ) utamtengea pia Kimtindo apime kina cha Bwala lako la Umeme wa Rufiji au?
 
Back
Top Bottom