KhaaaJF ina makaburi makuu kuu lakini hayakosi ukoko [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Usaili TFF, Wambura, Malinzi wang'aka
Usaili TFF, Wambura, Malinzi wang'aka
wambura na uongozi wa soka
wambura na uongozi wa soka
Michael Wambura avuliwa uanachama rasmi Simba SC
Michael Wambura avuliwa uanachama rasmi Simba SC
Hili nalo neno aiseeHuyu atakuwa na matatizo,haiwezekani kila uongozi unaoingia yeye ndo anaonewa
Ni kweli kbs, aachane na sehemu asiyotakiwaNi muda wa Wambura kujiajiri sasa
KweliWambura asilazimishe sana yatamkuta ya Aveva
Tuko kwenye taratibu za kumpeleka takukuru na vyombo vingine vya dolaAende CAS kwani TFF imejaa WAPUUZI,jamaa wamemuonea .Yaani kuna baadhi ya matukio hutokea Tanzani pekee yake
1.Unamuhukumu mtu bila yeye mwenyewe kuwepo kujitetea.
2.Kampuni ya JACKS ambayo wanadai wambura kafoji hizo stakabazi,hawajapewa taarifa waje kutoa ushahidi na wala wao wenyewe kuziverify hizo stakabadhi zao.
3.Yote tisa 10 TFF wao wenyewe wanaverify hizo stakabadhi,wakati kwa hapa Tanzania wenye uwezo wa verify document ni TAKUKURU pekee.
Yaani jamaa akienda CAS anashinda kabisa.
Kwa nini msingeanza na TAKUKURU na JACKS alafu ndio mngeamua kumfungia na je huko mahakamani akishinda mtamrusdisha wakati mshamchagua Nyamlani ambaye naye ana tuhuma za kimaadili (Ref Shaffih Dauda).Tuko kwenye taratibu za kumpeleka takukuru na vyombo vingine vya dola
[emoji15] [emoji15] njoo uchukueLeta cheti cha kuzaliwa cha bibi na babu tuthibitishe hapa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] (joke)
BMTSasa ulitaka rufaa yake isikilizwe na CHANETA ,Chama cha Netiboli Tanzania??
na chombo kingine kilicho huru, hata hiyo kamati ingekuwa ni ya wizara husika ingesound kidogo, ila sijui muundo wake, kama iko hivyo basi haki haiwezi kuonekana kutendeka achilia mbali kutendekaSasa ulitaka rufaa yake isikilizwe na CHANETA ,Chama cha Netiboli Tanzania??
Yaani ni maajabuAmbapo ndani yake kuna walioshiriki kumpa hukumu. Kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere
Mimi nawaambia huyu jamaa ni mbishi atapambana hadi atashinda
Ni mwizi.Juhudi za Wambura kutetea haki zake ndani ya TFF zimeanza kitambo sana. Toka enzi zile za FAT ya Nkurunzinza Ndolanga na Rage. Sijui hanaga fani nyingine huyu jamaa?
Mimi nawaambia huyu jamaa ni mbishi atapambana hadi atashinda