Kamati ya Usajili Simba SC waondoeni kina Kibu, Mutale, Ahoua, Balua, Kapombe na Shabalala. Leteni wachezaji wanaojielewa

Kamati ya Usajili Simba SC waondoeni kina Kibu, Mutale, Ahoua, Balua, Kapombe na Shabalala. Leteni wachezaji wanaojielewa

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Nimeutizama mpira jana safu yetu ya ushambuliaji ukimtoa Ateba hakuna mwingine aliyekuwa anaelewa nini timu inatakiwa kufanya.

Nikiri tu kusema Simba tumepata kocha mzuri sana ila tatizo lipo kwenye magarasa aliyoletewa na yale aliyoyakuta.

Najiuliza aliyemleta Mutale na Ahoua alifikiria nini aisee? Hawa jamaa sio level ya Simba. Hawaeleweki na hawajui nini wanatakiwa kufanya zaidi ya kukimbia na kuanguka ovyo uwanjani.

Bado kuna mrundi Kibu aisee huyu jamaa ni kichomi, anachojua yeye ni kukaa na mpira muda mrefu ili afanyiwe fouls, hana maamuzi mazuri uwanjani anachojua ni kukimbia tu pale anapopewa mpira mwisho wa safari akiguswa kidogo ni kuanguka na kubingirika.

Yaani mara mia angecheza Awesu Awesu. Kamati ya Usajili iache janja janja kutafuna pesa za mwekezaji bila ya huruma. Pia Shabalala na Kapombe watupishe kwenye timu, ni aina ya zile beki namba mbili na tatu na zamani ambao wao hukaa nyuma na kuwaacha mawinga mbele.

Timu inakosa balance kwenye kushambulia na hawa tunaposhambuliwa sio wazuri kuzuia. Wat watatu nyuma ya Ateba ni ovyo pamoja na mabeki wa pembeni.
 
Huna akila na haujui mpira. Unajua kwanini mwaka jana tulifungwa 5? Huyo kapombe na zimbwe walikuwa wanapanda hovyo hovyo na kuacha nafasi pembeni na yanga walizitumia hizo spaces wakatupiga chuma 5. Boka ana kasi, yao ana kasi unapandaje hovyo hovyo? Wewe umesema hatuna mawinga wazuri means quality yetu ni ndogo so inabidi tucheze kwa tahadhari.
 
Nimeutizama mpira jana safu yetu ya ushambuliaji ukimtoa Ateba hakuna mwingine aliyekuwa anaelewa nini timu inatakiwa kufanya. Nikiri tu kusema Simba tumepata kocha mzuri sana ila tatizo lipo kwenye magarasa aliyoletewa na yale aliyoyakuta.

Najiuliza aliyemleta Mutale na Ahoua alifikiria nini aisee? Hawa jamaa sio level ya Simba. Hawaeleweki na hawajui nini wanatakiwa kufanya zaidi ya kukimbia na kuanguka ovyo uwanjani. Bado kuna mrundi Kibu aisee huyu jamaa ni kichomi, anachojua yeye ni kukaa na mpira muda mrefu ili afanyiwe fouls, hana maamuzi mazuri uwanjani anachojua ni kukimbia tu pale anapopewa mpira mwisho wa safari akiguswa kidogo ni kuanguka na kubingirika.

Yaani mara mia angecheza Awesu Awesu. Kamati ya Usajili iache janja janja kutafuna pesa za mwekezaji bila ya huruma. Pia Shabalala na Kapombe watupishe kwenye timu, ni aina ya zile beki namba mbili na tatu na zamani ambao wao hukaa nyuma na kuwaacha mawinga mbele. Timu inakosa balance kwenye kushambulia na hawa tunaposhambuliwa sio wazuri kuzuia. Wat watatu nyuma ya Ateba ni ovyo pamoja na mabeki wa pembeni.
Bado hamjasema
 
Nimeutizama mpira jana safu yetu ya ushambuliaji ukimtoa Ateba hakuna mwingine aliyekuwa anaelewa nini timu inatakiwa kufanya.

Nikiri tu kusema Simba tumepata kocha mzuri sana ila tatizo lipo kwenye magarasa aliyoletewa na yale aliyoyakuta.

Najiuliza aliyemleta Mutale na Ahoua alifikiria nini aisee? Hawa jamaa sio level ya Simba. Hawaeleweki na hawajui nini wanatakiwa kufanya zaidi ya kukimbia na kuanguka ovyo uwanjani.

Bado kuna mrundi Kibu aisee huyu jamaa ni kichomi, anachojua yeye ni kukaa na mpira muda mrefu ili afanyiwe fouls, hana maamuzi mazuri uwanjani anachojua ni kukimbia tu pale anapopewa mpira mwisho wa safari akiguswa kidogo ni kuanguka na kubingirika.

Yaani mara mia angecheza Awesu Awesu. Kamati ya Usajili iache janja janja kutafuna pesa za mwekezaji bila ya huruma. Pia Shabalala na Kapombe watupishe kwenye timu, ni aina ya zile beki namba mbili na tatu na zamani ambao wao hukaa nyuma na kuwaacha mawinga mbele.

Timu inakosa balance kwenye kushambulia na hawa tunaposhambuliwa sio wazuri kuzuia. Wat watatu nyuma ya Ateba ni ovyo pamoja na mabeki wa pembeni.

Ukiona beki za pembeni hazipandi basi ujue hayo ni maelekezo ya Kocha

Kumbuka Yanga eneo lao kiungo na ushambuliaji wana watu wenye kasi kina Pacome, Azizi, Maxi, Dube, hvyo beki za pembeni zikiwa zinapanda panda hovyo alafu ikapigwa counter utaadhirika
 
Huna akila na haujui mpira. Unajua kwanini mwaka jana tulifungwa 5? Huyo kapombe na zimbwe walikuwa wanapanda hovyo hovyo na kuacha nafasi pembeni na yanga walizitumia hizo spaces wakatupiga chuma 5. Boka ana kasi, yao ana kasi unapandaje hovyo hovyo? Wewe umesema hatuna mawinga wazuri means quality yetu ni ndogo so inabidi tucheze kwa tahadhari.
Kwahiyo unataka kusema kuwa simba ichezapo na yanga hizi beki za pembeni zinatakiwa kukaa nyuma tu kwa kuogopa kushambuliwa?
 
Inasikut
Uko sahihi, hili tatizo sio kwa mechi ya YANGA tu ..lipo mechi zote za nyuma.
Safu ya ushambuliaji haina quality...
TOFAUTI ya SIMBA na YANGA ipo krk wafanya maamuzi...
Udhaifu wa KIBU tangu last season lakini eti bado ni tegemeo...
Mpira ukipigwa mbele huoni forward imefundishwa nini...

FADLU amejitahidi kujenga defence na mpira wa kisasa but fowadi msaidieni. Talented players..na mlipata left footer ni much better
 
Back
Top Bottom