Punguza jazba ayo ni mambo ya Wazazi na mambo ya wazazi yanajadiliwa chumbani.....Ukweli mchungu yanga mnadaiwa salar za watu lipeni kwanza acheni mbwembwe
Kma ni inxhu za room apa mmeleta za nn lipen salar bhanaPunguza jazba ayo ni mambo ya Wazazi na mambo ya wazazi yanajadiliwa chumbani.....
Vip unataka uingie chumbani..?
Vip Rufaa yenu? Au umerizika kununua nafasi ya Shirikisho?
kama kawaida yetu kombe la nne mfululizo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Kamati ya usajili ya timu ya Yanga maarufu kama wakimataifa imekaa na kuazimia yafuatayo.
1.Kusajili wacheza vijana zaid.
2.Kusajili wachezaji wenye viwango
3.Kuwatema wachezaji wasio na mchango kwenye timu
Mbali na hayo kama imeeleza kuwa usajili utafanyika kimya kimya na kuweka wazi baada ya usajili.
Kamati ya usajili imesema ina fungu la 2.4bilion kwaajili ya usajili.
Wapenzi,wanachama na mashabiki msiwe na shaka.
Ngoma na bussou must stayKamati ya usajili ya timu ya Yanga maarufu kama wakimataifa imekaa na kuazimia yafuatayo.
1.Kusajili wacheza vijana zaid.
2.Kusajili wachezaji wenye viwango
3.Kuwatema wachezaji wasio na mchango kwenye timu
Mbali na hayo kama imeeleza kuwa usajili utafanyika kimya kimya na kuweka wazi baada ya usajili.
Kamati ya usajili imesema ina fungu la 2.4bilion kwaajili ya usajili.
Wapenzi,wanachama na mashabiki msiwe na shaka.
Miezi minne wachezaji wanapiga miayo![emoji43] [emoji43] [emoji13] [emoji13]Yanga ni timu isiyo na pupa wala papara acha wa matopeni waweweseke sisi tunafanya mambo kwa uhakika...
WatalipaUkweli mchungu yanga mnadaiwa salar za watu lipeni kwanza acheni mbwembwe
Jamani kama kuna mtu Ana ile picha ya simba walivyoenda mwanza kwa kutumia ndege ilikuwa inawaonyesha wakigombea seat,wengine wanaambiana wafungue dirisha kwani ndani ya ndege kuna joto ituwekee hapa tujikumbushePunguza jazba ayo ni mambo ya Wazazi na mambo ya wazazi yanajadiliwa chumbani.....
Vip unataka uingie chumbani..?
Vip Rufaa yenu? Au umerizika kununua nafasi ya Shirikisho?
Nyasi bandia zimepigwa stop mpaka muonueshe certificate original ya uboraKma ni inxhu za room apa mmeleta za nn lipen salar bhana
TFF watakata rufaakama kawaida yetu kombe la nne mfululizo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Nikiona jina lako naikumbuka Yanga ya Hali ngumu ya kina Benito John, Mbuna, Changa, Moris, Waso, Ben Haule na Mpachika mabao Abou Ramadhani Mawia.......Jamani kama kuna mtu Ana ile picha ya simba walivyoenda mwanza kwa kutumia ndege ilikuwa inawaonyesha wakigombea seat,wengine wanaambiana wafungue dirisha kwani ndani ya ndege kuna joto ituwekee hapa tujikumbushe
SawaNikiona jina lako naikumbuka Yanga ya Hali ngumu ya kina Benito John, Mbuna, Changa, Moris, Waso, Ben Haule na Mpachika mabao Abou Ramadhani Mawia.......
Ila kweli.Ukweli mchungu yanga mnadaiwa salar za watu lipeni kwanza acheni mbwembwe
Mkwasa aliomba kila shabiki wa yanga, achangie japo 500 tu kila mwezi,zoezi limefikia wapi?Ngoma na bussou must stay
Shilawadu walikuwa wakimuinterview aliyekuwa mke wa Manyika jr akasema alikuwa anamfuga Simba njaa kali..aahhaaMkwasa aliomba kila shabiki wa yanga, achangie japo 500 tu kila mwezi,zoezi limefikia wapi?
Kumbe wanacheza Mpira bila ya kulipwa alafu wanakuwa mabingwa!!!Walipe mishahara ya watu kwanza