Mkwasa aliomba kila shabiki wa yanga, achangie japo 500 tu kila mwezi,zoezi limefikia wapi?
Bila shaka lile donda alilowaachia linalotokana na Kuikosa NDOO za VPL kwa muda wa miaka 5 bado unalo na linakuuma vibaya mno.Manji kasepa,Yanga na kiburi chao wameachiwa manyoya
Hadi bi Hindu akatishia kumwaga radhi
Ingawa zoezi halikiwa endelevu....Yanga waliweza kamata Mil 451 ndani ya miezi 2.
Nyinyi mnamsubiri MO atoe Mil 100. Mpaka akaifananisha Simba SC kama MWANAMKE asiye na shukrani. "Unakumbuka?"
Lakini ndio mabingwa mara 3[emoji23]Bakuli FC wachezaji wote umri umewatupa!!!
Waache majungu ,kutowashirikisha mwambusi na lwandamina kwenye usajili ,kujifanya wajuaji kuliko walimu na pia kuwatenga
Halafu wakabeba NDOO ya LigiKuu......Miezi minne wachezaji wanapiga miayo![emoji43] [emoji43] [emoji13] [emoji13]
Yanga wanauwezo wa kutowalipa wachezaji wake msimu mzima na bado wakatwaa Ubingwa wa VPL....Kma ni inxhu za room apa mmeleta za nn lipen salar bhana
Ndio ujue kuwa ndani ya mikia fc kitu weredi hakuna yaani pope anafanya anavyotaka ili apige notiJangwani mambo yanafanyika ki-proffesery zaidi ......
Hakuna anayefanya usajili bila Report ya Lwandamina + Mwambusi......
Ungetukuza enzi zetu zile za kusajili ovyo ovyo huyo Bocco mmngemsikia ameshatua Jangwani....si mnajua kuwa sisi tulivyokuwa mamafia kwenye usajili nyakati za nyuma...? Kama umesahau nakukumbusha la Twitte tu!
By the way! Omog ajawasilisha ripoti yake kuhusu usajili tayari Hans Pope ameanza kusajili akina Bocco....
Wachezaji hawana mishahara mwezi wa 4 sasa iyo 2.4B wanaitoa wapi? .......akili za kiteja bhana
Umemsahau mavugoYanga wanauwezo wa kutowalipa wachezaji wake msimu mzima na bado wakatwaa Ubingwa wa VPL....
Tumelidhihirisha msimu wa 2016/17.
Sasa mnyime mshahara Wa mwezi Kichuya....atagoma kufunga kama alivyogoma kufunga round ya pili...nankuambulia mabao 3 tu.
Waliowaweka wale kina Aveva,Kaburu,na Said Tuli.. Ni wajanja wa mishe za hela town.Rage alishawambia nyinyi kuwa ni mambumbumbu
Kabisa kabisa na wanachojua ni kuwahadaa wapenzi waoWaliowaweka wale kina Aveva,Kaburu,na Said Tuli.. Ni wajanja wa mishe za hela town.
Wangemrudisha Kaduguda na Rage, angalau tungesema kuna timu pinzani ya Simba.
Ubingwa watausikia tu kwenye vipindi vya michezo kwa Hawa friends of Simba.
4G HaaooooooooooKamati ya usajili ya timu ya Yanga maarufu kama wakimataifa imekaa na kuazimia yafuatayo.
1.Kusajili wacheza vijana zaid.
2.Kusajili wachezaji wenye viwango
3.Kuwatema wachezaji wasio na mchango kwenye timu
Mbali na hayo kama imeeleza kuwa usajili utafanyika kimya kimya na kuweka wazi baada ya usajili.
Kamati ya usajili imesema ina fungu la 2.4bilion kwaajili ya usajili.
Wapenzi,wanachama na mashabiki msiwe na shaka.
Maandamano fc haooooooo4G Haaoooooooooo
Kwani tofauti ya MAKUBAZI FC na MNYAMA ni nn?wote tunapanda ndege. Wote tuna makombe. Ila MNYAMA anapata 92 milions.. MAKUBAZI FC 80 milions.. na ni sawa na hasara pesa zote ulizopewa unarudisha MADENI YA MECHI ULIZONUNUWA.Rufaa ya Fifa vipi mbona kimya?
Wanasubiria kombe la rufaa kutoka Fifa
Kwahiyo mmekubali kushika nafasi ya pili?kumbe ile rufaa ilikuwa ni janja tu?teeeeeeeeeeeh teeeeeeeeeeeeh Bihindu fcKwani tofauti ya MAKUBAZI FC na MNYAMA ni nn?wote tunapanda ndege. Wote tuna makombe. Ila MNYAMA anapata 92 milions.. MAKUBAZI FC 80 milions.. na ni sawa na hasara pesa zote ulizopewa unarudisha MADENI YA MECHI ULIZONUNUWA.
Umesahau kupunguza 39m ya FIFA kupata ubingwa wa mezaniKwani tofauti ya MAKUBAZI FC na MNYAMA ni nn?wote tunapanda ndege. Wote tuna makombe. Ila MNYAMA anapata 92 milions.. MAKUBAZI FC 80 milions.. na ni sawa na hasara pesa zote ulizopewa unarudisha MADENI YA MECHI ULIZONUNUWA.
Kushika nafasi ya pili tena tofauti ya magoli ni bora kuliko kuwa BINGWA kwa MSAADA wa JAZA UJAZWE..Kwahiyo mmekubali kushika nafasi ya pili?kumbe ile rufaa ilikuwa ni janja tu?teeeeeeeeeeeh teeeeeeeeeeeeh Bihindu fc