Kamati ya waamuzi inayoongozwa na Hamdun Nassor ivunjwe-wanasheria

Hilo swali mbona huwa hamuulizi Rais wenu. Au mlimchagua ili mumsifie tu?
Waziri anafisadi Trn 1.7 mmekaa kimya, mnachekelea refari katoa penalti tatu za halali povu kama lote nchi nzima
Tunaishi kwenye jamii ya bora liende jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi pia unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe
 
Tatizo lipo kwa mwenyekiti wa tff kuendekeza ushabiki na mapenzi yake binafsi kwa paka yule
 
Hakuna kamati kuvunjwa ubaya ubwela mpaka kwao
 
Kayoko yupo anachezesha mechi za ligi ya mkoa wa dar

Week kama mbili nilikuwepo uwanjani kushuhudia mechi kati ya friends ranger na barbelian
Yeye ndio aliochezesha
Kwanini huyo Kayoko hafungiwi moja kwa moja kujihusisha na haya mambo ya mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…