Kamati za ulinzi na usalama mnawaonea walionunua silaha

Kamati za ulinzi na usalama mnawaonea walionunua silaha

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,108
Reaction score
5,110
Kumiliki silaha ni jambo ambalo linahitaji mchakato makini hasa katika nchi yetu.

Pamoja na umakini huo bado nashindwa kuelewa inakuwaje kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa iskae kujadili waomba umiliki wa silaha kwa zaidi ya miaka minne.Watu wanaopewa nyadhifa kubwa security vetting inafanyika haraka mno.

Watendeeni haki watu ambao pesa zao zipo locked kwa wauza silaha.
 
Kumiliki silaha ni jambo ambalo linahitaji mchakato makini hasa katika nchi yetu.Pamoja na umakini huo bado nashindwa kuelewa inakuwaje kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa iskae kujadili waomba umiliki wa silaha kwa zaidi ya miaka minne.Watu wanaopewa nyadhifa kubwa security vetting inafanyika haraka mno.
Watendeeni haki watu ambao pesa zao zipo locked kwa wauza silaha.
Kweli kabisa sasa wamegeuka miungu watu kupitisha vibali....usumbufu mkubwa sanaaaa
 
Kumiliki silaha ni jambo ambalo linahitaji mchakato makini hasa katika nchi yetu.Pamoja na umakini huo bado nashindwa kuelewa inakuwaje kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa iskae kujadili waomba umiliki wa silaha kwa zaidi ya miaka minne.Watu wanaopewa nyadhifa kubwa security vetting inafanyika haraka mno.
Watendeeni haki watu ambao pesa zao zipo locked kwa wauza silaha.
Duh, nilifikiri hili jambo lipo mkoa wetu tu, kumbe ni janga la mikoa mingi, unanunua silaha mpaka inapita miaka 4 kamati za ulinzi hazijafanya kitu.Unaweza kuwaza kwamba labda wajumbe wa kamati hizi wanataka chochote.Kuna umuhimu wa kumulika hapa
 
Umepeleka wapi? Kwasababu pale dasalama unamaliza kila kitu, kapitishie ilala, temeke ndio nilisikiaga rahisi!
 
Duh, nilifikiri hili jambo lipo mkoa wetu tu, kumbe ni janga la mikoa mingi, unanunua silaha mpaka inapita miaka 4 kamati za ulinzi hazijafanya kitu.Unaweza kuwaza kwamba labda wajumbe wa kamati hizi wanataka chochote.Kuna umuhimu wa kumulika hapa
Na kuondoa huu urasimu wanasiasa waondolewe kwenye hizi kamati,hili ni jambo la kitaalamu na once ukiwa na ripoti ya Doctor kuwa upo na akili safi ya kimiliki silaha na police wakikupa ripoti safi kama huna criminal record unalenga kituo cha polisi kuomba kumiliki silaha,elewa police ni lazima wafike kwenye address yako ili waone kama you have a safe place ya kuhifadhi silaha yako.
 
Duh, nilifikiri hili jambo lipo mkoa wetu tu, kumbe ni janga la mikoa mingi, unanunua silaha mpaka inapita miaka 4 kamati za ulinzi hazijafanya kitu.Unaweza kuwaza kwamba labda wajumbe wa kamati hizi wanataka chochote.Kuna umuhimu wa kumulika hapa
Wana mamlaka ya kukupa au kutokupa,waitumie hiyo nafasi kwani kukaa na pesa za mtu 1.4milion kwa miaka minne bila sababu ya msingi si haki!
 
Kuna wafanya biashara wanategemea biashara hii kwa jinsi hii wamewakwaza hasara zinazotokana na kamati hizi kutofanya maamuzi ni kama

1.Serikali kukosa mapato maana kama sulaha bado IPO Kwa muuzaji mnunuaji halipi malipo ya Kilamwaka

2. Mwenye silaha unaongezewa gharama za storage baada ya kupita miezi 6

Ni vema kamati hizi zichukue maamuzi ya amakutoa vibali au sababu za Kwa nini wanakaa kipindi kirefu hivi bila maamuzi
 
Katikati hapa watu wasiyo na akili timamu
Walimilikishwa silaha
Mliona jinsi gani watu walivyokuwa wakifyatuana kwenye mabar,msibani etc

Ova
 
Sijui ni bahati ama la, ila mimi nilimiki silaha Miezi 5 tu (kama kumbukumbu zipo sawa) baada ya kuomba.
 
Ukitaka kitu chako kiende slow we fill na serikali. Hawajali chochote kwasababu mwisho wa siku huna la kuwafanya. Hata ukiwapeleka mahakamani unajua mahakama ni zao siku hizi
 
Hivi kweli kwa sasa vikao havikai au kamati za ulinzi nchi nzima wako busy na vita ya Ukrain?
 
Back
Top Bottom