KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 407
- 892
Habari wakuu! Matumani yangu mpo poa kabisa.
Kwanza kabisa nimekuta na mambo mawili ya ajabu hapa duniani
Jambo la kwanza.
KUMEKUWA NA UHITAJI WA PAKA MWEUPE ASIYE NA DOA (Bei yake ilikuwa 3.5 M )
Jambo la pili .
KAMBA IYOTUMIKA AU ALIOTUMIA MTU MWENYEWE KUJINYONGA (Bei naambiwa milioni 500)
Zaidi jinsi ya kutest kama yenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
€ Unachukua hyo kamba unaendea kujaribu kutumbukiza choo cha shimo kinachotumika ( ikirude yenyewe basi ipo poa)
€ kufukia chini[emoji23][emoji23][emoji23]
Unachimba mfereji unafukia hiyo kamba ikiwa imenyooka!! Ila wanakushauri usiwe karibu naye!! Ikija juu ya udongo basi hyo ni Original
€ lazima isiwe imekatwa.
Sasa nimekaa kujiuliza hv vitu ni kwl au
Wadau embu tuelezani ukweli wa mambo hayaa!! Ili tufumbuane coz pengine kuna siri ambayo hatujui
Kwanza kabisa nimekuta na mambo mawili ya ajabu hapa duniani
Jambo la kwanza.
KUMEKUWA NA UHITAJI WA PAKA MWEUPE ASIYE NA DOA (Bei yake ilikuwa 3.5 M )
Jambo la pili .
KAMBA IYOTUMIKA AU ALIOTUMIA MTU MWENYEWE KUJINYONGA (Bei naambiwa milioni 500)
Zaidi jinsi ya kutest kama yenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
€ Unachukua hyo kamba unaendea kujaribu kutumbukiza choo cha shimo kinachotumika ( ikirude yenyewe basi ipo poa)
€ kufukia chini[emoji23][emoji23][emoji23]
Unachimba mfereji unafukia hiyo kamba ikiwa imenyooka!! Ila wanakushauri usiwe karibu naye!! Ikija juu ya udongo basi hyo ni Original
€ lazima isiwe imekatwa.
Sasa nimekaa kujiuliza hv vitu ni kwl au
Wadau embu tuelezani ukweli wa mambo hayaa!! Ili tufumbuane coz pengine kuna siri ambayo hatujui