Mnastar jr
Member
- Dec 29, 2016
- 99
- 53
Habari wakuu,!!kuna mdgo ake rafiki ang mmoj alikua kdato cha tatu msichana ni mcha mungu na alipenda sana shule.Kuna jamaa MTU mzima tu alkua anamtaka kimapenz kakamkatalia kabisa basi jamaa akaamua mvizia dogo na vjana akambaka ,dgo akapata mimba siku hyo.tulireport police jamaa akakamatwa ila hajamalza ata wk mbili katok ktuoni yupo mtaan!!naomben ushauri wenu ndg. jamaa achukuliwe hatua zipi ambazo ztampa funzo pia kwa wengne !! Ushauri wenu ndgu;tukio kasulu kigoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app