bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Viwanja tajwa hapo juu ni kati ya viwanja vigumu sana timu ngeni kwenda na kupata matokeo mazuri kipindi Ac Milan,Inter milan na Manchester united zilipokuwa kwenye ubora wao...
Imebidi nivifananishe Viwanja hivyo na kiwanja cha KAMBARAGE STADIUM kilichoko Shinyanga kinachotumiwa na STAND UNITED aka wapiga debe kwani tangu msimu uanze pamekuwa pagumu sana kwa timu za mikoani kupata matokeo mazuri pale hata ya sare tu.
Alianza YANGA akala kimoja,Leo tena AZAM kala kimoja.
Tunasubiria Simba kama ataweza kuvunja mwiko wa Stand united kutopoteza mchezo wowote dimba la Kambarage
Pia tumbumbuke Stand United ndo timu ambayo haijapoteza mchezo wowote mpaka sasa imecheza michezo tisa ikiwa na point 19 Nyuma ya Simba.
Hongereni Stand united.
Imebidi nivifananishe Viwanja hivyo na kiwanja cha KAMBARAGE STADIUM kilichoko Shinyanga kinachotumiwa na STAND UNITED aka wapiga debe kwani tangu msimu uanze pamekuwa pagumu sana kwa timu za mikoani kupata matokeo mazuri pale hata ya sare tu.
Alianza YANGA akala kimoja,Leo tena AZAM kala kimoja.
Tunasubiria Simba kama ataweza kuvunja mwiko wa Stand united kutopoteza mchezo wowote dimba la Kambarage
Pia tumbumbuke Stand United ndo timu ambayo haijapoteza mchezo wowote mpaka sasa imecheza michezo tisa ikiwa na point 19 Nyuma ya Simba.
Hongereni Stand united.