Ta-kibombo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 644
- 503
Poa tunawasubr ila msionge wachezaji wetu na waamuzi tu ili tukamuane kihalali kimya kimya.Tuache mda uongee.
Mipango si matumizi mtani wino huu!Sisi lengo letu kuu ni kuchukua ubingwa tukiwa hatujapoteza mechi hata moja.. Hayo ya kupanda ndege yatafuata baadae.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mipango si matumizi mtani wino huu!
Na huyu ndo mpinzani wetu kwa sasa.. Tunaenda kuchukua pointi 3.. Na kuongeza gepu la pointi dhidi yake.Mbinu za Stand United zinafahamika..
Wameanza migogoro ndo shida ya soka la Bongo jana wamepoteza mchezo dhidi ya prisonHiki kitimu ni kizuri sana toka kilipopanda daraja,ila pesa za ACCACIA zilikuwa znataka kuvuruga timu
Stand watastandishwa vibaya sana na mnyama!!Viwanja tajwa hapo juu ni kati ya viwanja vigumu sana timu ngeni kwenda na kupata matokeo mazuri kipindi Ac Milan,Inter milan na Manchester united zilipokuwa kwenye ubora wao...
Imebidi nivifananishe Viwanja hivyo na kiwanja cha KAMBARAGE STADIUM kilichoko Shinyanga kinachotumiwa na STAND UNITED aka wapiga debe kwani tangu msimu uanze pamekuwa pagumu sana kwa timu za mikoani kupata matokeo mazuri pale hata ya sare tu.
Alianza YANGA akala kimoja,Leo tena AZAM kala kimoja.
Tunasubiria Simba kama ataweza kuvunja mwiko wa Stand united kutopoteza mchezo wowote dimba la Kambarage
Pia tumbumbuke Stand United ndo timu ambayo haijapoteza mchezo wowote mpaka sasa imecheza michezo tisa ikiwa na point 19 Nyuma ya Simba.
Hongereni Stand united.