Kambarage Stadium kama Old Traford/Sansiro/Giusepe meaza

Kambarage Stadium kama Old Traford/Sansiro/Giusepe meaza

kuna mechi moja nakumbuka simba alikua anatafutiwa matokeo kule shy mpira ulichezwa dk zaidi ya 100 lakini wakaangukia pua
 
Hiki kitimu ni kizuri sana toka kilipopanda daraja,ila pesa za ACCACIA zilikuwa znataka kuvuruga timu
 
Hiki kitimu ni kizuri sana toka kilipopanda daraja,ila pesa za ACCACIA zilikuwa znataka kuvuruga timu
Wameanza migogoro ndo shida ya soka la Bongo jana wamepoteza mchezo dhidi ya prison

Liewg kaandika waraka akihushisha na rushwa ndani yake
 
Viwanja tajwa hapo juu ni kati ya viwanja vigumu sana timu ngeni kwenda na kupata matokeo mazuri kipindi Ac Milan,Inter milan na Manchester united zilipokuwa kwenye ubora wao...

Imebidi nivifananishe Viwanja hivyo na kiwanja cha KAMBARAGE STADIUM kilichoko Shinyanga kinachotumiwa na STAND UNITED aka wapiga debe kwani tangu msimu uanze pamekuwa pagumu sana kwa timu za mikoani kupata matokeo mazuri pale hata ya sare tu.

Alianza YANGA akala kimoja,Leo tena AZAM kala kimoja.

Tunasubiria Simba kama ataweza kuvunja mwiko wa Stand united kutopoteza mchezo wowote dimba la Kambarage

Pia tumbumbuke Stand United ndo timu ambayo haijapoteza mchezo wowote mpaka sasa imecheza michezo tisa ikiwa na point 19 Nyuma ya Simba.

Hongereni Stand united.
Stand watastandishwa vibaya sana na mnyama!!
 
Back
Top Bottom