kambi muda wa likizo kwa shule za sekondari wilaya ya mbinga zitasaidia kuboresha elimu?

kambi muda wa likizo kwa shule za sekondari wilaya ya mbinga zitasaidia kuboresha elimu?

mahesa

Senior Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
139
Reaction score
59
walimu wa sekondari wilaya ya mbinga mmelipokeaje swala la kuweka kambi za kufundisha kwenye shule zenu wakati wa likizo? je unafikiri kuwa na kambi kwa muda mfupi wa likizo mnaweza kuboresha elimu au matokeo mazuri kwa sasa? toa maoni yako tafadhar
 
mahesa mimba zitaongezeka maana baridi ya mwezi wa sita siomchezo/wasalimie maguu;litembo na mpapa.
 
Unajua unaweza ukawa unafundisha tofali ! Halielewi kitu chochote !

Namaanisha wanafunzi kuwa na utayari ! Kama hawana utayari basi mtafundisha wanafunzi wachache !

Nimekuwa mwanafunzi thats why naelewa vizuri !
Kwenye wanafunzi kunakuwa na ma Actors na ma Actress !

Unaweza ukawa unafundisha baadhi wakawa wana act kama wanakuelewa hivi ! Kumbe madudu !

Binafsi 95% naamini kambi hazi saidii chochote kile zaidi ya kuwaweka wanafunzi kuwa na uhuru zaidi ! Na baadhi kuenda wrong way !

Si unajua watoto wanapeana bila mizani siku hizi !

N:B !
Am sorry kama uliwalenga zaidi walimu tu !
UKWELI UTABAKI
 
Back
Top Bottom