Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Nimefuatilia sana mechi za Simba inapocheza na Yanga, Simba inapotumia uwanja wa Bunju kujiandaa kumkabili Yanga mara nyingi tunaishia kupata sare, sijui kwanini tunapenda kuiwinda Yanga tukiwa Bunju. Yanga mnawajua lakini? Shauri yenu.