Kambi ya Timu ya Taifa ya Riadha kuanza Mapema

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Mashindano ya Jumuiya ya Madola yanatarajiwa Kufanyika Birmingham,Uingereza na Mashindano ya Dunia Kufanyika Oregon, Marekani Mapema Julai Mwaka Huu.

Hivyo, Baraza la Michezo Tanzania (BMT) wakishirikiana na Shirikisho la Riadha Tanzania (AT) wameanza kusaka maeneo ya kuwaweka Wanariadha wa mbio fupi na Ndefu Ili kuwezesha Maandalizi Yenye Tija na kupata Medali.

Kambi zinatarajiwa kuwekwa Aidha West Kilimanjaro na Olmotonyi, Arusha.

Tutegemee Makubwa kwenye Riadha Mwaka huu.
 
Kambi gani tena wakati marathon Dar na Tanzania zipo nyingi waka pick randomly
 

Nyinyi ndiyo siku ya safari mnajikuta viongozi wa msafara mko 10 halafu wachezaji wako 5!! Maana kila mwaka mnajiandaa, lakini hatuoni mkirudi na medali kama ilivyo kwa majirani zetu Kenya na Uganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…