Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Zaidi ya watu 100 wamekosa makazi baada moto kuteketeza baadhi ya makazi ya wakazi wa kambi ya uvuvi ya Migogo iliyoko kata ya Maisome Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema Mkoa Mwanza kuteketea kwa moto muda huu na chanzo cha moto huo bado hakija fahamika.
Ofisa mtendaji Kata ya Maisome, Onesmo Daudi amethibitisha kutokea kwa tukio na hadi sasa hakuna kifo chochote kilichoripotiwa bado wanafuatia.
Daudi amesema kuwa moto huo umetokea majira ya saa tisa mchana na umeteketeza kabisa baadhi ya makazi ya wakazi wa kambi hiyo.
Kambi ya uvuvi ya Migogo nimiongoni mwa kambi nane za uvuvi wa samaki aina ya sangara na dagaa zilizoko kisiwa cha Maisome wilayani humo.
Ofisa mtendaji Kata ya Maisome, Onesmo Daudi amethibitisha kutokea kwa tukio na hadi sasa hakuna kifo chochote kilichoripotiwa bado wanafuatia.
Daudi amesema kuwa moto huo umetokea majira ya saa tisa mchana na umeteketeza kabisa baadhi ya makazi ya wakazi wa kambi hiyo.
Kambi ya uvuvi ya Migogo nimiongoni mwa kambi nane za uvuvi wa samaki aina ya sangara na dagaa zilizoko kisiwa cha Maisome wilayani humo.