Kambi ya Yanga yamkwamisha kocha

Kambi ya Yanga yamkwamisha kocha

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Hawa jamaa bana dah walikuwa wanaringia magorofa eti wako mjini siyo vijijini, jamani ushamba mzigo sana

HALI YA HEWA YAGEUKA KIKWAZO KWENYE MAZOEZI YA YANGA​


Kwa mujibu wa kauli ya Afisa habari wa Yanga, Hasan Bumbuli amedai kocha atalazimika kubadili utaratibu wa mazoezi kutokana na joto kuwa kali sana mjini Casablanca tofauti na Rabat sehemu waliopo Simba.

"Kocha amesema wamefanya mazoezi asubuhi kwa muda mchache kutokana na joto kali, hivyo kuanzia leo, watalazimika kufanya mazoezi mapema sana asubuhi kabla ya jua kuchomoza na kisha hali ikiruhusu baada ya jua kuzama jioni."

Kingine Bumbuli amedai wachezaji Khalid Aucho na Yannick Bangala Litombo wanatarajiwa kuwasili leo nchini Morocco.
 
Kwanini kambi zinawekwa nje, kwani hapa Tz haiwezekani kuokoa gharama? Au ugenini kuna nini la ziada?
 
Jotoridi katika Jiji la Dar es Salaam.
1.PNG



Jotoridi katika Jimbo la Berkane.
2.PNG



Akili za Kuambiwa changanya na "ZAKO".
 
Kwanini kambi zinawekwa nje ,kwani hapa Tz haiwezekani kuokoa gharama?au ugenini kuna nini la ziada?
Mleta uzi ametoa kaarifa kutoka kwenye chanzo mbacho ni facebook, tena account ambayo ana ihariri yeye mwenyewe.
 
Thnx kwa kutufatilia kila tuendapo [emoji120]
Wewe ni mwananchi haswa [emoji106][emoji106][emoji106]
you are welcome vipi tambo kwamba mpo mjini bado zipo? kocha haelewi kinachoendelea kabisa
 
raba

Acha kujiabisha ,Rabat na berkane ni vitu tofauti, rabat ni kama dodoma capital city ya nchi, casablanca ni kama dsm....berkane ni jimbo lenye miji kama Saïdia and Ahfir.
Sasa tu-Assume kuwa nime aibika baada ya kushindwa kufahamu kuwa berkane ni jiji. Haya tuambie kwanini berkane iwe na joto kali kuliko Avec Town (Kigamboni)?

(Kabla hujajibu refer kwenye weather images above)
 
Kwanini kambi zinawekwa nje ,kwani hapa Tz haiwezekani kuokoa gharama?au ugenini kuna nini la ziada?
Basi tu kujimwambafai. Hapa Kuna mazingira mazuri Sana ya kambi
 
Jotoridi katika Jiji la Dar es Salaam.
View attachment 1896795


Jotoridi katika Jimbo la Berkane.
View attachment 1896798


Akili za Kuambiwa changanya na "ZAKO".
Hali ya hewa ni pamoja na humidity mkuu.
Na pia Dsm joto ni kali usiku kwa vile upepo unavuma toka baharini. Kwa huko Berkane hili joto la Dsm usiku ndio lipo kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 1 jioni. Uaiku baridi ni kali sababu ya "insolation"... Kama unaelewa maana utopolo mna akili za peke yenu.

Screenshot_20210818-214318_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom