Kambi za Jeshi Tanzania zina vizuizi vya kuzuia picha zipigwazo na satelite?

Kambi za Jeshi Tanzania zina vizuizi vya kuzuia picha zipigwazo na satelite?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa.

Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia tena inakuwa kwa kasi sana,majeshi mengi hivi sasa yanajiimarisha pia katika nyanja hiyo.

Hoja yangu kuu ni kichwa cha habari hapo juu kwani tumekuwa tukizuiwa kupiga picha ama video katika kambi za jeshi,Sasa je vipi satellite ambazo zipo huko juu na huchukua picha nyingi tu na kwa upana zaidi!

Vipi kambi zetu zinajua hilo na wanalizuia vipi wasipigwe picha na satelite?

Ama tunatwanga maji kwenye kinu..?
 
Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa.

Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia tena inakuwa kwa kasi sana,majeshi mengi hivi sasa yanajiimarisha pia katika nyanja hiyo.

Hoja yangu kuu ni kichwa cha habari hapo juu kwani tumekuwa tukizuiwa kupiga picha ama video katika kambi za jeshi,Sasa je vipi satellite ambazo zipo huko juu na huchukua picha nyingi tu na kwa upana zaidi!

Vipi kambi zetu zinajua hilo na wanalizuia vipi wasipigwe picha na satelite?

Ama tunatwanga maji kwenye kinu..?
Majuzi warussi huko International Space Station walisema wako wanai-zoom pentagon kwa kutumia satellite.

Sasa sisi sijui tunaweza kufanya nini kwny jambo Hilo.
 
Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa.

Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia tena inakuwa kwa kasi sana,majeshi mengi hivi sasa yanajiimarisha pia katika nyanja hiyo.

Hoja yangu kuu ni kichwa cha habari hapo juu kwani tumekuwa tukizuiwa kupiga picha ama video katika kambi za jeshi,Sasa je vipi satellite ambazo zipo huko juu na huchukua picha nyingi tu na kwa upana zaidi!

Vipi kambi zetu zinajua hilo na wanalizuia vipi wasipigwe picha na satelite?

Ama tunatwanga maji kwenye kinu..?
Satellite bado picha zake haziko detailed.. especially hizi zinazotumiwa na kila mtu.. lakini zipo specific zinachukua mpaka live video kwenye angle zote hukohuko juu sema hizi ndo zile ambazo ziko limited kutumiwa na majeshi ya nchi husika tu na watu binafsi wenye mtonyo mrefuu
 
Satellite bado picha zake haziko detailed.. especially hizi zinazotumiwa na kila mtu.. lakini zipo specific zinachukua mpaka live video kwenye angle zote hukohuko juu sema hizi ndo zile ambazo ziko limited kutumiwa na majeshi ya nchi husika tu na watu binafsi wenye mtonyo mrefuu
Haohao wachache ndo wanaweza kuangamiza.. mkuu hujui kosa la mjinga mmoja tu linaweza kusababisha ajali ya basi zima..?!
 
Haohao wachache ndo wanaweza kuangamiza.. mkuu hujui kosa la mjinga mmoja tu linaweza kusababisha ajali ya basi zima..?!
Yes.. hiyo ni moja ya sababu ikulu imehamishiwa Dodoma kule adui mpaka afike ni kazi sio hapa DSM kwenye maji kule ni risk vibaya mno.. adui kutokomea ni dk sifuri.
 
Majuzi warussi huko International Space Station walisema wako wanai-zoom pentagon kwa kutumia satellite.

Sasa sisi sijui tunaweza kufanya nini kwny jambo Hilo.
Sisi tunywe kahawa na kupiga porojo...na uji wa ulezi kwa wingi....baadae tupate alkasusu...tukalale na kujamba. Nani kasema we can stop those who own technology?
Tunaishi na kufanya mambo yetu kijima kabisa. Tunawezaje kuzuia hizi advanced technologies?
 
Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa.

Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia tena inakuwa kwa kasi sana,majeshi mengi hivi sasa yanajiimarisha pia katika nyanja hiyo.

Hoja yangu kuu ni kichwa cha habari hapo juu kwani tumekuwa tukizuiwa kupiga picha ama video katika kambi za jeshi,Sasa je vipi satellite ambazo zipo huko juu na huchukua picha nyingi tu na kwa upana zaidi!

Vipi kambi zetu zinajua hilo na wanalizuia vipi wasipigwe picha na satelite?

Ama tunatwanga maji kwenye kinu..?

Nataka nikwambie hatutakubali na tumejipanga.

Alisikika kijana mmoja wa uv….[emoji23][emoji23]
 
Ili wafanye nini? Nini watakachokipata kwa kui zoom Pentagon?
Majuzi warussi huko International Space Station walisema wako wanai-zoom pentagon kwa kutumia satellite.

Sasa sisi sijui tunaweza kufanya nini kwny jambo Hilo.
 
Back
Top Bottom