Kambi za Jeshi Tanzania zina vizuizi vya kuzuia picha zipigwazo na satelite?

Kambi za Jeshi Tanzania zina vizuizi vya kuzuia picha zipigwazo na satelite?

Yes.. hiyo ni moja ya sababu ikulu imehamishiwa Dodoma kule adui mpaka afike ni kazi sio hapa DSM kwenye maji kule ni risk vibaya mno.. adui kutokomea ni dk sifuri.
Huyo adui anatembea kwa miguu?.au unawaza mambo ya mwaka 47.Wakiamua wanakuata popote.
 
Majuzi warussi huko International Space Station walisema wako wanai-zoom pentagon kwa kutumia satellite.

Sasa sisi sijui tunaweza kufanya nini kwny jambo Hilo.
Haaahaaa!! Wameshindwa kui- zoom Ukraine sembuse huko Mbali.
Kimsingi ktk suala la satellite nchi pekee inayoongoza ni Marekani tu. Wengine wanajikongoja.
 
Haaahaaa!! Wameshindwa kui- zoom Ukraine sembuse huko Mbali.
Kimsingi ktk suala la satellite nchi pekee inayoongoza ni Marekani tu. Wengine wanajikongoja.
😄😄😄 alisikika Mmarekani wa ukerewe akiongea kwa jazba 😄😄😄
 
Yes.. hiyo ni moja ya sababu ikulu imehamishiwa Dodoma kule adui mpaka afike ni kazi sio hapa DSM kwenye maji kule ni risk vibaya mno.. adui kutokomea ni dk sifuri.
😄😄😄 Siku hizi vinatumwa vitu vya supersonic kutoka huko vilipo,hata hawahitaji kukusogelea karibu.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] Siku hizi vinatumwa vitu vya supersonic kutoka huko vilipo,hata hawahitaji kukusogelea karibu.
Kwenye Vita ya kizazi chetu.. information and speed is everything [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa.

Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia tena inakuwa kwa kasi sana,majeshi mengi hivi sasa yanajiimarisha pia katika nyanja hiyo.

Hoja yangu kuu ni kichwa cha habari hapo juu kwani tumekuwa tukizuiwa kupiga picha ama video katika kambi za jeshi,Sasa je vipi satellite ambazo zipo huko juu na huchukua picha nyingi tu na kwa upana zaidi!

Vipi kambi zetu zinajua hilo na wanalizuia vipi wasipigwe picha na satelite?

Ama tunatwanga maji kwenye kinu..?
Labda ngome tu pale upanga
 
Lugalo yenyewe ipo uchi kabisa, halafu wameweka vibao vya usipige picha
Screenshot_20220422-163637_Maps.jpg
 
Ili wafanye nini? Nini watakachokipata kwa kui zoom Pentagon?
Warusi wanaiona Russia tokA 1957 kupitia Sputnik. Kwa Sasa Sputnik haiko active Tena.
Hii Ni sababu mojawapo ya warusi na Wamarekani kutopigana direct. Wanajuana jinsi gani ugomvi was mojakwa moja utaangamiza kila kilicho chao
 
Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa.

Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia tena inakuwa kwa kasi sana,majeshi mengi hivi sasa yanajiimarisha pia katika nyanja hiyo.

Hoja yangu kuu ni kichwa cha habari hapo juu kwani tumekuwa tukizuiwa kupiga picha ama video katika kambi za jeshi,Sasa je vipi satellite ambazo zipo huko juu na huchukua picha nyingi tu na kwa upana zaidi!

Vipi kambi zetu zinajua hilo na wanalizuia vipi wasipigwe picha na satelite?

Ama tunatwanga maji kwenye kinu..?
Yule jamaa yako aliekutuma Bitegaramana mwambie umekwama sana halafu achana na hizo story
 
Ukitumia google earth unaona kila kitu kilichomo ardhini wakati inaingia hii teknolojia Kwenye simu nilimshangazaga demu mmoja jinsi nilivyokuwa namtajia maeneo ya nyumbani kwao na picha ya home kwao nikaiskrinshut alishangaa sana.
 
Kwa sisi raia wa kawaida tumewekewa sheria kuwa haturuhusiwi kupiga picha kambi ya jeshi zaidi zile zenye taarifa muhimu za jeshi. Ndio sipingi na ni sahihi maana kwa kutumia picha tu adui anaweza kupata taarifa nyingi na ikawa ni angamizo kubwa.

Hivi sasa tupo kwenye ulimwengu wa teknolojia tena inakuwa kwa kasi sana,majeshi mengi hivi sasa yanajiimarisha pia katika nyanja hiyo.

Hoja yangu kuu ni kichwa cha habari hapo juu kwani tumekuwa tukizuiwa kupiga picha ama video katika kambi za jeshi,Sasa je vipi satellite ambazo zipo huko juu na huchukua picha nyingi tu na kwa upana zaidi!

Vipi kambi zetu zinajua hilo na wanalizuia vipi wasipigwe picha na satelite?

Ama tunatwanga maji kwenye kinu..?
Mkuu, Vjta yetu sisi si kwa wenye satelite. Vita yetu ni ya thithi thi thii. Wenye satelite tuwaache walale kwanza
 
Back
Top Bottom