Kambi za Karantini za Corona zageuzwa madanguro Kenya, wahusika waomba serikali kuwapa "Condoms".

Kambi za Karantini za Corona zageuzwa madanguro Kenya, wahusika waomba serikali kuwapa "Condoms".

MK254 njoo huku ya cameroon yamehamia Nairobiu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Binafsi haya makarantini bila hiyo huduma ya akina dada zetu nitatoroka, cha msingi unahakikisha mnaifanya kwa njia salama, aje kama amevaa hayo mavitu ila aachie pale eneo lile lile muhimu, na humo pia avae kondomu ya akina dada, pia na mimi nijivishe mavazi ya kumlinda na kondomu pia, kisha tufanye kwa mtindo wa kuchuna mboga

KH-COMPOSITE-SEX-POSITION-FACEMASK.jpg
 
Binafsi haya makarantini bila hiyo huduma ya akina dada zetu nitatoroka, cha msingi unahakikisha mnaifanya kwa njia salama, aje kama amevaa hayo mavitu ila aachie pale eneo lile lile muhimu, na humo pia avae kondomu ya akina dada, pia na mimi nijivishe mavazi ya kumlinda na kondomu pia, kisha tufanye kwa mtindo wa kuchuna mboga

KH-COMPOSITE-SEX-POSITION-FACEMASK.jpg
Aisee
 
Kenya inaendelea kuwa nchi ya vituko, hakua lolote linalofanyika kwa dhati na usimamizi ulio makini. Wakati ambapo watu wanaowekwa katika hizi kambi maalumu wanapaswa wasikaribiane wala kushikana mikono, Kenya hali ni tofauti kabisa, hakuna ulinzi wala ufuatiliaji wa jinsi wanavyoishi.

Kutokana na usimamizi dhaifu wanatumia nafasi hiyo kubanduana na kujiliwaza wenyewe kwa wenyewe ili hata ikitokea watakutwa na Corona na hatimae kuaga dunia, basi waende mbinguni wakiwa wepesi katika viuno vyao, Kumbuka wote wanawekwa sehemu moja, bila kutenganishwa kati ya wanawake na wanaume, au kati ya wanafunzi na wasiokua wanafunzi.

=====

Last month directives were given concerning individuals coming into the country for mandatory quarantine in different isolation centers across the country.

Today, Miguna Miguna through his Twitter account revealed how some of those put in the facilities had been engaging in sexual acts instead of isolating as they awaited testing and results.
One follower who wanted to maintain anonymity sent Miguna a message exposing the filthy acts that most people were involved in at The Kenya Medical Training Institute.

β€œA message from a Kenyan Quarantined at the KMTC: "I arrived from Seychelles on 25th March and I was brought to KMTC MG facility. We're 128 in total out of these are 8 Pakistani. On the 1st test there were 3 positive cases and it took 3 days for them to isolate the victims.

People are stressed. What you posted is absolutely right. People are engaging in sex until the point they ask the authorities to provide them with condoms despite the social distancing rules. Today we got 2 positive cases and fortunately they isolated them on time.

General, we don't know what will happen to us. We are forced to share same facilities [at close quarters] and they are expecting us not to infect ourselves. 😣😣😣😣😣 We want them to release us because soon we gonna turn positive too." Read the message.

Numerous people in quarantine have complained about the poor state in which they are forced to live in, unfortunately their pleas fall on deaf ears.

The government proposed an additional fourteen days from the initial fourteen days for those in isolation as they continue with testing in a bid to reduce the spread of Corona.

The confirmed cases of those infected by the virus shot to 216 today after an additional 8 individuals were confirmed to have contracted the virus.

Kenyans Quarantined in Isolation Facilities Cohabiting Instead of Maintaining Social Distance

Sent using Jamii Forums mobile app
hali tz vipi!!! hali nzuri kweli kweli...
 
hehe bora umuongoze Mbuzi

Alisikika baharia wa buza akisema
 
Wakenya wagani wanachokora Tanzania? Taja watatu tu.
Kwanini unataka watatu?, kwanini usiseme taja mkenya hata mmoja anayeichokonoa Tanzania kila siku?, unahisi hadi wafike watatu ndio tuanze kujibu?. Hukumbuki maneno ya Jaguar pekee yalivyohamsha taharuki?.

Jambo moja lazima mjifunze ni kwamba, sio lazima maisha yaende vile mnavyotaka ninyi, hapa unataka nikutajie watatu, lakini unajua kwamba wapo wakenya wenye kufanyia chokochoko Tanzania, hata kama yupo mmoja tu, hiyo inatosha kuamsha hasira za watanzania wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna upumbavu zaidi ya kuacha njia sahihi inayofaa kuzuia maambukizi badala yake mnang'ang'ana na ujinga wa kupima

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wala sio mashindano haya! Hasa ikifikia ni maswala ya afya na uhai wa binadamu ligi sitaweza. I'm afraid I won't be a part of this.
Wewe endelea kumuomba Mungu kama njia ya kupambana na Kirusi hiki na sisi tutaendelea na Mass Testing yetu.
 
Mkuu wala sio mashindano haya! Hasa ikifikia ni maswala ya afya na uhai wa binadamu ligi sitaweza. I'm afraid I won't be a part of this.
Wewe endelea kumuomba Mungu kama njia ya kupambana na Kirusi hiki na sisi tutaendelea na Mass Testing yetu.
Umezungumza vizuri sana, nililisema hili jambo la kila nchi kufanya vile inavyodhani ni sahihi na mwisho wa siku atakayefanikiwa ndio atakua ni mfano kwa wengine. Jambo la kushangaza kila siku mbafungua uzi kujaribu kuonyesha kwamba "mass testing" ndio njia sahihi na kwamba nchi zengine zisizofanya hivyo zinafanya makosa, pamoja na kwamba ukweli umeshajidhihirisha kwamba ni nchi gani inayofanikiwa hadi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi haya makarantini bila hiyo huduma ya akina dada zetu nitatoroka, cha msingi unahakikisha mnaifanya kwa njia salama, aje kama amevaa hayo mavitu ila aachie pale eneo lile lile muhimu, na humo pia avae kondomu ya akina dada, pia na mimi nijivishe mavazi ya kumlinda na kondomu pia, kisha tufanye kwa mtindo wa kuchuna mboga

KH-COMPOSITE-SEX-POSITION-FACEMASK.jpg
Condomu mbili zikigusana zitapasuka. Yeye avae tu na wewe ubaki hivyo au wewe uvae na yeye abaki hivyo. Mbili ni kuleta majanga na hatutaki kukupoteza mzee wa kijiji yetu 😁😁.
 
Kwanini unataka watatu?, kwanini usiseme taja mkenya hata mmoja anayeichokonoa Tanzania kila siku?, unahisi hadi wafike watatu ndio tuanze kujibu?. Hukumbuki maneno ya Jaguar pekee yalivyohamsha taharuki?.

Jambo moja lazima mjifunze ni kwamba, sio lazima maisha yaende vile mnavyotaka ninyi, hapa unataka nikutajie watatu, lakini unajua kwamba wapo wakenya wenye kufanyia chokochoko Tanzania, hata kama yupo mmoja tu, hiyo inatosha kuamsha hasira za watanzania wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu. Nafurahi kuona kwamba Kenya inakuzingua. Inaonekana wewe ni mtu ambaye akipenda amependa. Hata mpenzi wako najua unampa mahaba ya kutosha. Kwa kawaida ni vyema kufanya vitu kwa vipimo. Full mahaba kwa Kenya kidogo inatuchanganya. Hatujazoea mahaba kiasi hiki.
 
Condomu mbili zikigusana zitapasuka. Yeye avae tu na wewe ubaki hivyo au wewe uvae na yeye abaki hivyo. Mbili ni kuleta majanga na hatutaki kukupoteza mzee wa kijiji yetu 😁😁.

Duh! Au kama vipi anisaidie kupiga nyeto mzuka uishe tu basi, maana hii serikali inafaa ielewe, kwamba
- Kuweka mtu anayejihisi mzima karantini, haswa hizi za kukomoana kisa mtu kaingia kaunti nyingine
- Hanywi pombe
- Yuko mwenyewe muda wote
- Wanaokuja kumhudumia wote wamevaa mavazi wanafanana mizimwi

Hapo hamna kingine, unajikuta mzuka unakupanda ghafla baada ya kila saa. Bora wapewe kila mtu kipakatarishi/laptop iliyounga kwenye Showmax au Netflix walau iwe mwendo wa kutazama series siku zinaisha.
Kipindi niliumwa Dengue Bongo, nikaambiwa na daktari haina dawa, ilibidi nisake movies na series nikatulia ndani, mwili ulinipelekesha ila movies zilinituliza mpaka kirusi kikafa chenyewe.
 
Kweli we mpumbavu hivi upo Kwenye kuwaza ugonjwa Kama unao au huna utakua na raha gani mpaka huo mkuyenge wenyewe uweze kusimama
Binafsi haya makarantini bila hiyo huduma ya akina dada zetu nitatoroka, cha msingi unahakikisha mnaifanya kwa njia salama, aje kama amevaa hayo mavitu ila aachie pale eneo lile lile muhimu, na humo pia avae kondomu ya akina dada, pia na mimi nijivishe mavazi ya kumlinda na kondomu pia, kisha tufanye kwa mtindo wa kuchuna mboga

KH-COMPOSITE-SEX-POSITION-FACEMASK.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
actually apart from the Kenyans here in JF very few Kenyans even know their number of corona cases since most aren't even interested.
True. I actually don't even know their number of corona virus cases.
 
Back
Top Bottom