Kamfumania mumewe na housegirl!!!!!

Huu mjadala mtam sana!Ngoja niwe mtazamaji!
 
hayo maswali unayojiuliza
ndo kazi ya mahakama na wanasheria sasa
au unataka tuifanye sie?

Watoto wa kike ninao,Ila jamaa wakati anafanya hivyo alikuwa katika stuation ipi?let say alikuwa kalewa.Jamani Huyu mke akimpeleka polisi mme wake,baadae ataregreat vibaya mno
 
Naelewa kabinti ndo kavictim,let say jamaa alikuwa kalewa so alifanya hivyo si kwa akili zake.Fikirieni mke akamshitaki jamaa afungwe mvua 30 sijui.Dah AMSAMEHE TU

hivi kwa nini watu wanafanya vitu vya ajabu halafu wanasingizia pombe? Lets say alikuwa kalewa mbona hakuvua nguo akatembea uchi mtaani? kama alikuwa kalewa kwa nini hakukosea nyumba akaingia kwa jirani.........
kama alikuwa kalewa alipata wapi akili za kumfukuza mke na housegirl?
 
Watu wengine hovyo sana, actually huyu ameniboa kuliko huyo mbakaji. Nashindwa kuamini kwamba mtu mwenye akili zake timamu anaweza kaa akaandika aliyoandika huyo jamaa.It's truly SAD.Just plain SAD.

Lazima huyu ndio yule mbakaji, au ni potential mbakaji!
Kosa ni la watu walio toa ajira, sio yule mwanaume...
Kosa lingine ni kua chini ya miaka 18 (kwa hiyo above 18 ingekua sio kosa)
as says Lizzy, very SAD indeed
 
umeuliza maswali ya msingi lkn tumesahau kuhoji haki ya yule house gal!
tusikimbilie kuokoa ndoa wakati kuna shambulio la aibu.....huyo jamaa hafai ni mnyama in short ,yaani alishindwa kuomba kwa makubaliano.shameful ipo siku atakubaka hata ww shemeji yake kaunga. pelekeni polisi huyo.
 
Siku zote ninapenda utambue kwamba katika lndoa/mahusiano haswa kwa wapendanao kwa dhati litokeapo tatizo kimbilio la kwanza sio kuachana No please, ni vema kupata muda wa kuzungumza tena kwa kuvumiliana kwani sababu zipo nyingi za kumfanya mwanamume afanye mambo ya aina hio, kwa mwanamke muelewa ni lazima ajiulize kama anatimiza wajibu wake wa kumpa tendo la ndoa au kazi ndo imekua kazi kiasi cha kumsahau mume we wadhani chakula kile umpikiacho nguvu zote ziende wapi?
Nadhani umshauri mdogo wako atimize wajibu wake na mmewe hatakua na tamaa kwa sababu alimchagua yeye,
kiukweli kwa mwanamke kumfanya mvulana akupende na awemwaminifu ni rahisi sana ila wadada wengi wakileo hawajawapa waumezao nafasi kwa kiwango stahili.
Tena ashukuru katembea hapo hapo ndani yaonyesha alizidiwatu coz mkewe hampi shughuli ya kutosha,
je angemfuma uwanja wa fisi?
So nibora ajue chanzo kuliko kuachana kwani nani kakwambia atapata mwengine asiye na kasoro.
Mkajipange upya!
 
Right now
am frustrated kuliko hata binti aliyebakwa
ngoja nihame uzi huu
i will go insane

wanamme watetee hata wanawake?
Au hatuzai kwa uchungu siku hizi?
Nikipigia picha ni binti yangu?au mimi mwenyewe?

Kwahiyo we ukibakwa na mlevi utaona poa tu?
 
Watu wengine hovyo sana, actually huyu ameniboa kuliko huyo mbakaji. Nashindwa kuamini kwamba mtu mwenye akili zake timamu anaweza kaa akaandika aliyoandika huyo jamaa.It's truly SAD.Just plain SAD.

Nafikiri umeboreka na mengine zaidi sio uchangiaji wangu! kama unauchungu usikibali nyumbani kwako kua na housegirl less than 16yrs.
 
Watoto wa kike ninao,Ila jamaa wakati anafanya hivyo alikuwa katika stuation ipi?let say alikuwa kalewa.Jamani Huyu mke akimpeleka polisi mme wake,baadae ataregreat vibaya mno

hapo umechemsha kabisa yaani hata usiendelea kucomment, kubaka ni katabia wengi wao washafanya mara kibao ila ndo unakuta siku hiyo kafumwa sasa ukisema et alikuwa amelewa haingii akili, kwani wakati amelewa si amekutana na wanawake kibao njiani ila anajua fika hata fika kwamba katoto kanaogopa hivyo hakawezi kupinga la sivyo angeparamia mwanamke yoyote huko alikotoka.
 
unajua bwana
kama hujawahi lala njaa huwezi ijua njaa

kuna mtoto alikwahi sikia sehemu fulani kulikuwa na ukame wa muda mrefu
na watu wanakufa njaa

akamjibu mzazi wake 'kwani friji zao hazina juisi'

Kama wewe unauchungu akija mtt wa less than 16yrs msaidie kivingine na sio kumfanya housegirl mnawatafutia matatizo! badala ya kumwasaidia!
 
Lazima huyu ndio yule mbakaji, au ni potential mbakaji!
Kosa ni la watu walio toa ajira, sio yule mwanaume...
Kosa lingine ni kua chini ya miaka 18 (kwa hiyo above 18 ingekua sio kosa)
as says Lizzy, very SAD indeed

Sina haja ya kubaka kwenye hii dunia na maua yapo bureeeee!!!


Acha mchezo wa kuchukua binti wadogo wawenzenu kwa kisingizio cha kuwasaidia na familia zao!!! less than 16yrs?
 

LIKE, LIKE, LIKE.
Asante Boss.
 
Kwanza hapo ana kosa la kubaka,kosa lingine under 18.Jela ipo wazi.Sasa ngoma anapelekwa jela na mkewe.FOR ME CONFLICT OF INTEREST INGEAPLY!Mme jela aisee mimi ningemsamehe kwa kutompeleka polisi
 

Mtu mzima(above 18yrs) anabakwa siku hizi? unless kama njemba zaidi ya mmoja!! above 18 one to one wanabakana!


NARUDIA TENA ACHENI KUWACHUKUA WATOTO WADOGO LESS THAN 16 KWA KISINGIZIO CHA KUWASAIDIA
 
.shameful ipo siku atakubaka hata ww shemeji yake kaunga. pelekeni polisi huyo.

Wewe mimi ni mkubwa, namzidi miaka isiyopungua 4, so he can't! Lemme see, wamefikia wapi nitaupdate ili kupata ushauri zaidi whenever needed!
 
Nafikiri umeboreka na mengine zaidi sio uchangiaji wangu! kama unauchungu usikibali nyumbani kwako kua na housegirl less than 16yrs.
Nimesema nimeboreka na uchangiaji wako and that's that.

Kwanza kabisa sijawahi wala sitegemei kuajiri mfanyakazi wa ndani.

Pili hata kama huyo msichana alikua anakaa hapo tu ili apelekwe shule bado huyo mbakaji angembaka.Tatizo sio yeye kufanyishwa kazi bali ni uwepo wake ndani ya hiyo nyumba.Na kama isingekua yeye ingekua mwingine hata wa kukamata mtaani tu kwahiyo acha kutetea upuuzi kwa sababu zisizo na kichwa wala macho.
 
NARUDIA TENA ACHENI KUWACHUKUA WATOTO WADOGO LESS THAN 16 KWA KISINGIZIO CHA KUWASAIDIA

Copy that!
By the way, suppose she was not a housegirl, amechukuliwa kwa ajili ya kusaidiwa kama unavyoshauri and she is 15, anasoma darasa la Saba, auntie yake kaenda night shift; unafikiri huyo bwana asingembaka just because she is not a 'Housegirl'? Au some of u lile jina la uhousegirl linawaturn on?
 
Lazima huyu ndio yule mbakaji, au ni potential mbakaji!
Kosa ni la watu walio toa ajira, sio yule mwanaume...
Kosa lingine ni kua chini ya miaka 18 (kwa hiyo above 18 ingekua sio kosa)
as says Lizzy, very SAD indeed


Ajira ipi unampa mtu less than 16yrs? uhousegirls? alafu akikua anakua nani? au ndio uhousegirl for life?

Acha wewe mtt kama huyo anatakiwa asaidiwe apate knowledge itakayomsaidia maishani!! na sio ajira unayoitetea kwa POVU!
 
Huyo mwanaume **** kweli,pamoja na ufala wake asamehewe jamani.Unajua kumuangamiza mmeo wakati ulikuwa na uwezo wa kumuokoa ni kosa kubwa sana.Anyway wao ndo wenye uamuzi wa mwisho
 
@pilu
Kwa kuwa nimeomba ushauri mwenyewe inabidi nikubali kupokea ushauri wako. Lkn by the time ukipitia post zinazofuata, na ile yenye update ya situation naamini utabadilisha ushauri! By the way, are the men children? Kwanini makosa yao yote chanzo chake ni wanawake? Na wanawake chanzo cha makosa yao ni nini eti; au ndio Nyoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…