Kamfumania mumewe na housegirl!!!!!

Kamfumania mumewe na housegirl!!!!!

Kimsingi swala hili laweza pia kumalizwa socially na house G akapewa haki zake.
 
Kuachana ni jambo kubwa na zito haswa ukizingatia ni ndoa ya Kikristu - Kikatoliki, ushauri wangu hapa ni kuondoa "Cause" for discomfort; nayo ni yule house girl jambo ambalo linaweza kutekelezeka kirahisi na bila ya athari kubwa kwa wao na watoto. Ni baada ya kumwondoa Binti mhusika ndipo wanaweza keti kumaliza tofauti zao. Mume akiwa mstaarabu ataomba radhi na yatakwisha. Inambidi mdogo wako kuwa makini sana na wasaidizi wa ndani ili hilo lisije rudiwa tena.
 
Huyo mwanaume **** kweli,pamoja na ufala wake asamehewe jamani.Unajua kumuangamiza mmeo wakati ulikuwa na uwezo wa kumuokoa ni kosa kubwa sana.Anyway wao ndo wenye uamuzi wa mwisho
Na binti wa kazi asaidiweje? Au kwa kuwa possibly wazazi (kama anao) hawana uwezo? Nisaidie, Ashadii alishasema nawachukia wanaume, n she is right TSE, nisaidie niamue bila kuingiza hasira. Though sio muamuzi wa mwisho, nashauri tu!
 
Siku zote ninapenda utambue kwamba katika lndoa/mahusiano haswa kwa wapendanao kwa dhati litokeapo tatizo kimbilio la kwanza sio kuachana No please, ni vema kupata muda wa kuzungumza tena kwa kuvumiliana kwani sababu zipo nyingi za kumfanya mwanamume afanye mambo ya aina hio, kwa mwanamke muelewa ni lazima ajiulize kama anatimiza wajibu wake wa kumpa tendo la ndoa au kazi ndo imekua kazi kiasi cha kumsahau mume we wadhani chakula kile umpikiacho nguvu zote ziende wapi?
Nadhani umshauri mdogo wako atimize wajibu wake na mmewe hatakua na tamaa kwa sababu alimchagua yeye,
kiukweli kwa mwanamke kumfanya mvulana akupende na awemwaminifu ni rahisi sana ila wadada wengi wakileo hawajawapa waumezao nafasi kwa kiwango stahili.
Tena ashukuru katembea hapo hapo ndani yaonyesha alizidiwatu coz mkewe hampi shughuli ya kutosha,
je angemfuma uwanja wa fisi?
So nibora ajue chanzo kuliko kuachana kwani nani kakwambia atapata mwengine asiye na kasoro.
Mkajipange upya!


yaani ni bora alivyobaka? hata kama kungekua na tatizo lenye ukubwa wa aina gani KUBAKA hakukubaliki, haijalishi amembaka mtoto au mtu mzima. Na ndoa huwa haisuluhishwi kwa namba hiyo. Mume anashinda Geita machimboni ina maana mke akipata hamu atafute mtu? Na mume kule akipata hamu awe na mtu? hiyo ni ndoa kweli?

mwanaume anayejiheshimu, anayeheshimu , anayethamini na kuijali nyumba yake, anayejitambua IKITOKEA amecheat hawezi kucheat nyumbani kwake hata siku moja, na wala mkewe hawezi jua..... zaidi hawezi KUBAKA...
 
....dada yangu yamenikuta kama ya jimmy (my x sio jina lake halisi) na loyce (my former maid); Elisha (mume wa mdogo wangu sio jina lake) kambaka msichana wa kazi, nilikuwa 9t, kesho nitampelka hospt ili twende police, mengi ntakupigia kesho......

Sio Hasira zangu, hiyo ndio SMS nimeedit majina tu!
hapo kwny red ,mtu akibakwa kumpeleka hosptl ni km emergency coz huko wanaangalia signs of penetration n possible forced one pia ,wanafanya investigations km sperm analysis ,maambukizi ya magonjwa ya zinaa km anayo na km kuna uwezo wa kuwa ameambukizwa(hiv/aids ,syphills ,gonorrhea n.k),pregnancy test kujua km anayo au hana, km hana anapewa emergency contraceptive kuzuia uwezekano wa kupata mimba ......pia kuanzishiwa utaratibu wa kutibiwa kimwili pamoja na kiakili (kubakwa siyo jambo dogo likikukuta)
make sure u do the right thing to help th gal aseeeh!
 
Sasa hapo mkubwa abakwi!!!

With help yes, with silaha yes, lkn sio kwa mtindo alioutumia kwa poor helpless girl. Nafikiri umeelewa, by the way nilikuwa namjibu mtu aliyekuwa ana wasi wasi kuwa huyo dogo anaweza kunibaka mie!
 
unajua bwana
kama hujawahi lala njaa huwezi ijua njaa

kuna mtoto alikwahi sikia sehemu fulani kulikuwa na ukame wa muda mrefu
na watu wanakufa njaa

akamjibu mzazi wake 'kwani friji zao hazina juisi'

Less than 16 hata kama ananjaa na unajali sana best opt. sio kumpa uhousegirl napinga kwa nguvu zote!!
 
Well said Badili Tabia, l wish wengi tungebadili tabia for the better!
 
With help yes, with silaha yes, lkn sio kwa mtindo alioutumia kwa poor helpless girl. Nafikiri umeelewa, by the way nilikuwa namjibu mtu aliyekuwa ana wasi wasi kuwa huyo dogo anaweza kunibaka mie!

Unajua watu hawaelewi simshabikii mbakaji lkn jamani pia tujalibu kua na alternative ya kuwasaidia wtt wanaoukuja kwetu au tunaotumiwa na ndugu ambao ni wadogo!!

Unajua mtt ni mdogo alafu HS! inamuondolea kujiamini sana hata kua kazi rahisi kwa mbakaji!! tuwasaidie kwa njia nyingine ambazo zitawafanya wajiamni na kuspeakout vitu vibaya!! unafikiri uyo mbakaji alianza tu najua alimtongoza kwanza!!
 
yaani ni bora alivyobaka? hata kama kungekua na tatizo lenye ukubwa wa aina gani KUBAKA hakukubaliki, haijalishi amembaka mtoto au mtu mzima. Na ndoa huwa haisuluhishwi kwa namba hiyo. Mume anashinda Geita machimboni ina maana mke akipata hamu atafute mtu? Na mume kule akipata hamu awe na mtu? hiyo ni ndoa kweli?

mwanaume anayejiheshimu, anayeheshimu , anayethamini na kuijali nyumba yake, anayejitambua IKITOKEA amecheat hawezi kucheat nyumbani kwake hata siku moja, na wala mkewe hawezi jua..... zaidi hawezi KUBAKA...

Ni muhimu ujue sipo hapa kutetea ubakaji,
kikubwa nikujaribu kueleza chanzo cha huo ubakaji, hata kama mme/mke anafanyakazi mbali basi ni vema kua na ratiba maalumu ambayo kila mmoja atajua akilini na mwili utajiandaa ivyo.
Kwa hio wewe kutokana na maelezo yako unaruhusu cheat?
 
Sasa na conclude!!
  1. Mbakaji achukuriwe hatua za kisheria!!
  2. Wanandoa watapima uzito!!
  3. Less tha 18yrs wasifanyishwe kazi za ndani
  4. Nalog-off source wakuwasha!!
 
Kuna comment za watu wengine humu ukizisoma sijui wanapoandika wanatumia kiungo gani kufikiria...
 
Hicho ndicho ninachokiwaza mimi; ila mama yake (mamdogo wangu) anamshauri avumilie akirecall kwenye familia baba nani alicheat mbona ndoa yaendelea!

I aggree with u, amekuwa akicheat na wanawake wengine lkn Mdogo wangu amekuwa akivumilia, hii ya Housegirl tena under 18, ni mbaya zaidi!

Inaonekana cheating ndo tabia yake. but hii ya uder 18 ni muda so sheria ichukue mkondo wake.
 
@pilu
Kwa kuwa nimeomba ushauri mwenyewe inabidi nikubali kupokea ushauri wako. Lkn by the time ukipitia post zinazofuata, na ile yenye update ya situation naamini utabadilisha ushauri! By the way, are the men children? Kwanini makosa yao yote chanzo chake ni wanawake? Na wanawake chanzo cha makosa yao ni nini eti; au ndio Nyoka?

wala isikusumbue akili, hio kwa wanaume ni nature si makosa yao chamsingi ni mvulana kujua kua kuna udhaifu huo wa wanawake kwa asilia kabisa hivyo kua makini na hilo kila wakati, ila hata wanawake nina experience na hili wao pia makosa yao mengi chanzo chao ni wanaume toka nimesoma girlz hata chuo nimeona hayo so hawatofautiani sana,
nasistiza swala hilo laweza tatuliwa socially na yakaisha.
Na mdogo wako akapata muda wa kujipanga upya na mmewe,kumbuka wao ni binadamu na sio wakamilifu, ndugu!
 
Mtu mzima(above 18yrs) anabakwa siku hizi? unless kama njemba zaidi ya mmoja!! above 18 one to one wanabakana!


NARUDIA TENA ACHENI KUWACHUKUA WATOTO WADOGO LESS THAN 16 KWA KISINGIZIO CHA KUWASAIDIA
i total disaggree na concept yako ya raping ,km mtu ni sex offender siyo lazima shambulio la aibu lihusishe actual penetration hata kumshika mwanamke viungo vyake bila ridhaa yake ni shambulio la aibu na linawakwaza sana wanawake kisaikolojia bila kujali umri ....vp ww mke wako ,au dada yako au mtoto wako mwny miaka 40 akishikwa **** mbele yako bila ridhaa yake utafanyaje?
hapan ishu ni ile dhamira tu regardless of umri ,hilo la kuwatumikisha under 18 linangukia kwny childrens labour ambalo hilo ni jambo lingine.
 
Inaonekana cheating ndo tabia yake. but hii ya uder 18 ni muda so sheria ichukue mkondo wake.

hapana nadhani hajapata watu wakumshauri vizuri, lakini anaweza kujirekebisha na akawa raia mwema na akawa mshauri mzuri kwa wenziwe,
nashauri akalishwe chini nawatu wenye heshima arejeshwe kimaadili.
 
wala isikusumbue akili, hio kwa wanaume ni nature si makosa yao chamsingi ni mvulana kujua kua kuna udhaifu huo wa wanawake kwa asilia kabisa hivyo kua makini na hilo kila wakati, ila hata wanawake nina experience na hili wao pia makosa yao mengi chanzo chao ni wanaume toka nimesoma girlz hata chuo nimeona hayo so hawatofautiani sana,
nasistiza swala hilo laweza tatuliwa socially na yakaisha.
Na mdogo wako akapata muda wa kujipanga upya na mmewe,kumbuka wao ni binadamu na sio wakamilifu, ndugu!
Hivi ingekua wewe/dada yako/mtoto wako ndie aliyebakwa bado ungeshauri hivi hivi.
 
Back
Top Bottom