Kamikaze drone ya Russia imeharibu mzinga hatari wa marekani

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Kamikaze drone ya mrusi lacent kamikaze drone imeendelea kuwa pasua kichwa kwa majeshi ya Ukraine kwa ufanisi wake mkubwa.

Kamikaze hio Imeharibu mzinga huo unafahamika kama M109 self-propelled howitzer uliokuwa na masaada mkubwa kabisa katika uwanja wa vita kwa upande wa Ukraine, uliotolewa na serikali ya marekani kama masaada.





 
Propaganda tupu.
 
Unajisifu kuharibu moja??.......wakati Kaka javelin alikura vichwa vya kilometres 64...........sijui zilikuwa ngapi hizo za kirusi
 
U
Unajisifu kuharibu moja??.......wakati Kaka javelin alikura vichwa vya kilometres 64...........sijui zilikuwa ngapi hizo za kirusi
Ukiwa na Akili za panzi utaamini huo ushuzi
 
Unajisifu kuharibu moja??.......wakati Kaka javelin alikura vichwa vya kilometres 64...........sijui zilikuwa ngapi hizo za kirusi
Basi mrusi tajiri kweli,,,,, maana bado anaendelea kushusha kipondo....... Ule muungano wa mashoga hadi wapigizane kelele kutembeza bakuli
 
Kama za Baba yako Tu........lakini mama yako alimuelewa hivyo hivyo na akili zake za panzi
Yaani wewe siyo tu kwamba una Akili za panzi bali wewe ni panzi haswaaa maana haya majibu Yako yanaonesha wewe ni PALADE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…