Kamishina wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Rukwa ni mbabaishaji, atumbuliwe

Kamishina wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Rukwa ni mbabaishaji, atumbuliwe

Mungu Tusamehe Afrika

Senior Member
Joined
Jan 18, 2022
Posts
139
Reaction score
204
Habari,

Napenda kukujulisha Waziri wa Ardhi kuwa tangu amefika huyu kamishina hapa Mkoani Rukwa hana tija yoyote kwani amekuwa ni mbabaishaji na mtu wa kusafiri sana kila leo.

Migogoro mingi ya ardhi anashindwa kuitatua na pia amekuwa na tabia ya kutolipa madeni ya ofisi yake kwa wanaomdai kwa kuwazungusha njoo kesho mara nimesafiri huku akijua kabisa wananchi wanahitaji malipo yao waweze kuendeleza maisha yao.

Kuna madeni ya tangia mwaka jana hajalipa kila siku anazungusha tu lakini safari kwake haziishi kila leo kwa kutumia pesa za ofisi hiyohiyo inayodaiwa.

Hata watumishi tu wa ofisi yake wanalalamika juu ya tabia zake kwani amekuwa hajali watu wanapomfanyia kazi mfano mzuri ni fundi aliye mfungia mfumo wa kisaini kwa kidole hajamlipa kwa muda mrefu sana.

Safisha mtu huyu haraka ni kikwazo hata urasimishaji maeneo mkoa wa Rukwa hauganikiwi kwaajili ya mtu huyu.

Kazi njema.
 
Hivi hati zinatoka baada ya muda gani?toka mwaka mwezi wa saba mpaka leo holaaa
 
Hivi hati zinatoka baada ya muda gani?toka mwaka mwezi wa saba mpaka leo holaaa
Duh kawaida Hati ni mwezi tu, ukichelewa sana Kama hujafanya any effort ya kufuatilia kwa maana ya rushwa nk basi isizidi miezi 3.

Ofisi zote za ardhi no Wala rushwa sana. Mashauri TAKUKURU wazimulike sana ofisi za ardhi na mabaraza ya ardhi nako kunanuka rushwa kubwa sana na ukandamizaji haki.

Maafisa ardhi wengi Kama sio wote no Wala rushwa sana.
 
Habari,

Napenda kukujulisha Waziri wa Ardhi kuwa tangu amefika huyu kamishina hapa Mkoani Rukwa hana tija yoyote kwani amekuwa ni mbabaishaji na mtu wa kusafiri sana kila leo.

Migogoro mingi ya ardhi anashindwa kuitatua na pia amekuwa na tabia ya kutolipa madeni ya ofisi yake kwa wanaomdai kwa kuwazungusha njoo kesho mara nimesafiri huku akijua kabisa wananchi wanahitaji malipo yao waweze kuendeleza maisha yao.

Kuna madeni ya tangia mwaka jana hajalipa kila siku anazungusha tu lakini safari kwake haziishi kila leo kwa kutumia pesa za ofisi hiyohiyo inayodaiwa.

Hata watumishi tu wa ofisi yake wanalalamika juu ya tabia zake kwani amekuwa hajali watu wanapomfanyia kazi mfano mzuri ni fundi aliye mfungia mfumo wa kisaini kwa kidole hajamlipa kwa muda mrefu sana.

Safisha mtu huyu haraka ni kikwazo hata urasimishaji maeneo mkoa wa Rukwa hauganikiwi kwaajili ya mtu huyu.

Kazi njema.
Anaitwa nani huyo kamishna? Tummulike TAKUKURU mje mchukue mtu wenu
 
Duh kawaida Hati ni mwezi tu, ukichelewa sana Kama hujafanya any effort ya kufuatilia kwa maana ya rushwa nk basi isizidi miezi 3.

Ofisi zote za ardhi no Wala rushwa sana. Mashauri TAKUKURU wazimulike sana ofisi za ardhi na mabaraza ya ardhi nako kunanuka rushwa kubwa sana na ukandamizaji haki.

Maafisa ardhi wengi Kama sio wote no Wala rushwa sana.
Toka mwaka jana mwezi wa saba nimelipia Dodoma mpaka leo hazijatoka kweli
 
Kutumbua ishapita mda wake, labd wapunguze urefu wa kamba tu
 
Habari,

Napenda kukujulisha Waziri wa Ardhi kuwa tangu amefika huyu kamishina hapa Mkoani Rukwa hana tija yoyote kwani amekuwa ni mbabaishaji na mtu wa kusafiri sana kila leo.

Migogoro mingi ya ardhi anashindwa kuitatua na pia amekuwa na tabia ya kutolipa madeni ya ofisi yake kwa wanaomdai kwa kuwazungusha njoo kesho mara nimesafiri huku akijua kabisa wananchi wanahitaji malipo yao waweze kuendeleza maisha yao.

Kuna madeni ya tangia mwaka jana hajalipa kila siku anazungusha tu lakini safari kwake haziishi kila leo kwa kutumia pesa za ofisi hiyohiyo inayodaiwa.

Hata watumishi tu wa ofisi yake wanalalamika juu ya tabia zake kwani amekuwa hajali watu wanapomfanyia kazi mfano mzuri ni fundi aliye mfungia mfumo wa kisaini kwa kidole hajamlipa kwa muda mrefu sana.

Safisha mtu huyu haraka ni kikwazo hata urasimishaji maeneo mkoa wa Rukwa hauganikiwi kwaajili ya mtu huyu.

Kazi njema.
KAMISHNA huyo amekuwa anashirikiana na Matapeli wa ARDHI kuvamia Viwanja Vinavyomilikiwa kwa HATI za Muda mrefu kwa kusingizio cha FIDIA wakati Wenye Maeneo Walikwishalipwa FIDIA zao Miaka ya Nyuma.
Pia KAMISHNA huyo Amekuwa Hataki kutekeleza MAAMUZI ya MAHAKAMA juu ya Migogoro ya Ardhi yaliyopatiwa Ufumbuzi na MAHAKAMA
KAMISHNA huyo pia HAJIBU Barua za MALALAMIKO akishirikiana na Watendaji wake hasa AFISA ARDHI MKOA na Afisa Ardhi wa MANISPAA ya Sumbawanga
.
 
Habari,

Napenda kukujulisha Waziri wa Ardhi kuwa tangu amefika huyu kamishina hapa Mkoani Rukwa hana tija yoyote kwani amekuwa ni mbabaishaji na mtu wa kusafiri sana kila leo.

Migogoro mingi ya ardhi anashindwa kuitatua na pia amekuwa na tabia ya kutolipa madeni ya ofisi yake kwa wanaomdai kwa kuwazungusha njoo kesho mara nimesafiri huku akijua kabisa wananchi wanahitaji malipo yao waweze kuendeleza maisha yao.

Kuna madeni ya tangia mwaka jana hajalipa kila siku anazungusha tu lakini safari kwake haziishi kila leo kwa kutumia pesa za ofisi hiyohiyo inayodaiwa.

Hata watumishi tu wa ofisi yake wanalalamika juu ya tabia zake kwani amekuwa hajali watu wanapomfanyia kazi mfano mzuri ni fundi aliye mfungia mfumo wa kisaini kwa kidole hajamlipa kwa muda mrefu sana.

Safisha mtu huyu haraka ni kikwazo hata urasimishaji maeneo mkoa wa Rukwa hauganikiwi kwaajili ya mtu huyu.

Kazi njema.
Pole sana fundi wa kuweka mashine za kusaini kwa vidole utalipwa tu kuwa na subira.
 
Back
Top Bottom