Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Yan hata iwaje ila katiba haiwezi ruhusu et IGP sijui CDF wapigiwe kura hata siku moja achilia mbali hio interview unayosema haitakuwepo daimaaa

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Hongera Wambura
Kuchapa kazi kunalipa.

Ninamkubali alipokuwa kinondoni kabla kuhamishwa majambazi yalinyooka na kushika adabu

Hata mama Samia aliwahi.muongelea kama akilalamika uhamisho wake.akihutubia .Ali sent message sijui kama wasikilizaji wahusika walielewa ile meseji.

Kifupi majambazi nchi nzima yajiandae
Wambura ndio.eneo lake analolipenda yatakiona cha mtema kuni.
 
Maridhiano ilikuwa ni lazima Sirro aondoke kwanza
 
Kingai kaulaa Naona IGP katoka kanda pendwa tena!

soon tutasikia wakili Robert kidando yule alikua kiongozi wa jopo la mawakili wa serikali kwenye kesi ya mbowe nae kateuliwa kuwa jaji.
Kawaida sana
 
Katiba mpya itasimamia vema jeshi la polisi lisiumize raia kwa kufuata maagizo ya wanasiasa kama ilivyo Sasa!!hata akiteuliwa yeyote kwenye nafasi yoyote atasimamiwa na Katiba na kutovuka mstari uliochorwa na sheria mama!

Ndio maana sisi wenye hekima tunaimba wimbo huu hapa:-


""Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!!
 
Sirro aende na gunia la kubebea pesa Zimbabwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…