Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Kingai kaulaa Naona IGP katoka kanda pendwa tena!

soon tutasikia wakili Robert kidando yule alikua kiongozi wa jopo la mawakili wa serikali kwenye kesi ya mbowe nae kateuliwa kuwa jaji.
Mkurya mwenzangu nasisi tunaendelea kushukuru
 
Ni walewale wa kila siku kubadirishwa vitengo tu. Kwa Siro hana cha kujutia kwasababu wapo waliotoka kwenye kuwa IGP na ubalozi hawakuuonja asirani..
Kama yupi anbaye hakustaafishwa kama yeye?
 
Hyo ni demo tu, we ubaloz unaenda kuongoza au kusimamia WaTu wangap??
 
Vigogo Serikalini wanabadilishiwa tu namna ya kula hata kama wanavurunda..anatolewa hapa anapelekwa pale..anatenguliwa na huyu anateuliwa na yule..
Ingependeza sana kama zingekua sinaingia na sura mpya kwenye ngazi za juu ili kuleta mabadiliko. Hizi sura za zamani matokeo yake kujuana kunakua kwingi, flani akikamatwa hakai kituoni hata dak 5 ameachiwa. Ni upumbavu
 
Sawa ila katika yeye ni demotion tusidanganyane
 
Zaman hiz za magu na samia cjui Kwanini imekuwa shida IGP kumaliza Muda wake.tatizo jingne jeshi letu linatumiwa sana kisiasa. Na lipo kwenye spot light Sana kuliko majeshi mengine.
Itakuwa hivyo mpk politics itakavokuwa mbali na jeshi hilo
 
Hizo nafasi ni za Kanda maalum kikatiba 😀
Siyo kweli mkuu..
IGP wote kabla ya Sirro hawakutokea huko unakoita Kanda Maalum:
1964-1970: Elangwa N.Shaidi
1970-1973: Hamza Azizi
1973-1975: Samwel H. Pundugu

1975-1980: Philemon N. Mgaya
1980-1984: Solomon Liani

1984-1996: Harun G Mahundi
1996-2006:
Omary Mahita
2006-2013: Saidi A Mwema
2014-2017: Ernest Mangu
2017-2022: Simon Sirro
2022--: Camillius Wambura
 
Hi nchi ya ovyo sanaaa!yaani KINGAI na madudu yote yale kesi ya Mbowe kapewa UDCI??Tutafika mbinguni tumechoka sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…