Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

Hakika
Kuna mwanafalsafa aliwahi sema

"free things are never served with respect, learn to hustle"

Leo hii Sirro anakua balozi same as Polepole tena Zimbabwe huku akina Hoyce Temu wakipewa balozi nchi nzito nzito huko Ulaya.
 
Pongezi nyingi. Sasa ni muda wa kuchapa kazi kwa weledi na maarifa na kwa kutanguliza masilahi ya Nchi yetu
 
Mtaelewa lini kwamba nchi hii itakuwa bora zaidi kama itakuwa na taasisi imara badala ya kusifia sifia tu??
 
Majungu na fitina havina nafasi katika awamu hii ya 6.

Kamwe viongozi wetu wasikubali kuyumbishwa na kelele za wahuni wachache wenye wivu na chuki binafsi.
 
CCM watu wabaya sana... Wanakutumia halafu wanakutupa jalalani bila hata ya kugeuza sura zao kuangalia umeangukiaje huko jalalani.
 
Kumbe ni Member wa JF?!
 
Kuna mwanafalsafa aliwahi sema

"free things are never served with respect, learn to hustle"

Leo hii Sirro anakua balozi same as Polepole tena Zimbabwe huku akina Hoyce Temu wakipewa balozi nchi nzito nzito huko Ulaya.
Polepole Yuko Malawi hapo mzee wangu
 
Hili la kumuondoa Siro limechelewa sana. Huyu bwana hakustahili kuwepo ofisini muda mrefu sana.
Tatizo la Tanzania ni kulindana bado anaendelea kutumia pesa za walala hoi.
Kuna mahali Mh. Rais kapotoshwa, Kingai hakustahili kuwa Dci. File lake halistahili hicho cheo. Kingai sio msafi.
 
Kingai atakuwa amepewa asante kwa kazi ya kijinga aliyopewa na mama ya kumsulubu Mbowe
 
Popularity ya Kingai kwa sehemu kubwa imepaishwa na kesi ya Mbowe huo ndio ukweli, RPC wengi media ndio zimewapaisha.

Nawasilisha nikitokea
Kwa "PUT IN"
Sio kweli..Kingai yupo miaka mingi jeshini, Kesi ya juzi haina uhusiano na kupanda kwake.
Hapa kati yamepita mengi, ila wazuri na wabaya wapo.
 
Sirro alitumika sana wakati wa utawala wa kidhalimu wa Magufuli, sasa akale mali alizochuma kwa dhuluma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…