Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Hii imefanyika Feb 23,2023.
International Criminal Tribunal for Rwanda ambayo imemaliza kazi yake, imekabidhi Detention Centre kwa Kamishna Jenerali, kuitumia anavyopenda. Ni Detention Centre ya watu mia moja(100).
Kila chumba kina choo. Lipo jiko pale. Haiitwi jela. Inaitwa Detention Centre. Inaweza kutumika labda kama VIP Detention Centre.
Ipo picha hapa lakini,alas,sijui jinsi ya kuitoa kwenye WhatsApp na kuiweka JF.
Nilikutana na huyu jamaa. Yeye ni Injinia. Anasema yeye mwenyewe ndie sliyesimamia ujenzi wa hii Detention Centre. Anasema the place is quite comfortable.
International Criminal Tribunal for Rwanda ambayo imemaliza kazi yake, imekabidhi Detention Centre kwa Kamishna Jenerali, kuitumia anavyopenda. Ni Detention Centre ya watu mia moja(100).
Kila chumba kina choo. Lipo jiko pale. Haiitwi jela. Inaitwa Detention Centre. Inaweza kutumika labda kama VIP Detention Centre.
Ipo picha hapa lakini,alas,sijui jinsi ya kuitoa kwenye WhatsApp na kuiweka JF.
Nilikutana na huyu jamaa. Yeye ni Injinia. Anasema yeye mwenyewe ndie sliyesimamia ujenzi wa hii Detention Centre. Anasema the place is quite comfortable.