joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wewe ndiyo useme ni maeneo gani hapa Tanzania ambayo unaona kina tatizo ili tukujibu, ukiuliza swali la wazi kama hili, utapata jibu la wazi, kwamba tuna nafuu katika maeneo yote ya uchaguziKwenye mambo ya chaguzi tuna nafuu gani?!
The lady was afraid of being "Msandoed" labda...Her brother and family alledgedly left the country after being threatened...I also think she wanted to keep her international professional career alive...Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Roselyn Akombe ajiuzulu, asema tume imegawanyika na inafanya kazi bila kuzingatia utaratibu
Dr. Akombe alituma taarifa kutoka New York alipokuwa akifanya kazi Umoja wa Mataifa kabla ya kwenda kufanya kazi tume ya uchaguzi
Katika taarifa hiyo Dr. Akombe alisema uchaguzi uliopangwa kufanyika hauwezi kukidhi matakwa ya uchaguzi unaoaminika
'' Kwa jinsi tume ilivyo sasa ni hakika haiwezi kutuhakikishia uchaguzi utakaoaminika tarehe 26 Oktoba. Sitaki kuwa sehemu ya dhihaka hiyo kwa uchaguzi wa kiadilifu''
Akihojiwa na shirikala utangazaji la BBC Jumatano Asubuhi, amesema amekimbilia New York akihofia usalama wa maisha yake na pia na kuongezea Mwenyekiti wa Tume hiyo, Wafula Chebukati amezingirwa
Alikuwa ni sehemu ya timu iliyokuwa isafiri kwenda Dubai kusimamia kuchapishwa kwa karatasi za uchaguzi
=============================================
IEBC commissioner Roselyn Akombe has resigned from the poll agency.
Dr Akombe sent the statement from New York, where she was based, working for the UN, before she took the job at the electoral commission.
In the statement, Dr Akombe said the repeat election as planned cannot meet the basic expectations of a credible election.
ELECTORAL INTEGRITY
"The commission in its current state can surely not guarantee a credible election on October 26. I do no want to be party to such a mockery to electoral integrity," she said.
In an interview with the BBC Wednesday morning , Dr Akombe said she went to New York fearing for her life. She said IEBC chairman Wafula Chebukati is under siege.
In her statement she said it is unacceptable for any party to disrupt, attack IEBC staff; says acts must be condemned and action taken against perpetrators.
"It broke my heart in the last few days to listen to my staff in the field, majority of whom truly want to do the right thing, express to me their safety and security concerns. I shared detailed reports from staff in four of the Counties most hit by the ongoing protests - Nairobi, Siaya, Kisumu, and Homa Bay - with the hope that this will bring sobriety to our decision making.
"Instead this was met with more extremist responses from most Commissioners, who are keen to have an election even if it is at the cost of the lives of our staff and voters," she said.
She was supposed to be part of a team that is in Dubai to monitor the printing of ballot papers.
Dr Akombe toured Nyanza and the Western region last week as the commission worked to train officers to handle elections.
Source: Daily Nation
Kama huna ushabiki basi jadili jambo hili kwa swala la hakiWewe ndiyo useme ni maeneo gani hapa Tanzania ambayo unaona kina tatizo ili tukujibu, ukiuliza swali la wazi kama hili, utapata jibu la wazi, kwamba tuna nafuu katika maeneo yote ya uchaguzi
Sasa kipi kati ya hayo uliyo yataja ni kinyume na sheria au katiba yetu tuliyo kubaliana?Kama huna ushabiki basi jadili jambo hili kwa swala la haki
Uchaguzi unasimamiwa na wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilaya, akishirikiana na watumishi walio chini yake, ambao wote ni wateule na wanufafaika wa mh. Rais aliyepo!! Na wakati huo, Rais na na Chama chake ni washiriki wa chaguzi hizo dhidi ya vyama na wagombea wengine!!! HAPA KUNA HAKI GANI KWA WAGOMBEA WENGINE?!
Lakini pili sheria zetu za uchaguzi si nzuri, zinategemea zaidi busara kuliko haki. Mfano hii ya mtu ngazi ya urais, akishatangazwa hata kama ni kwa shinikizo kutoka popote, hauwezi kuhoji popote!!! KATIKA KARNE HII???
Mambo ni mengi sana, tulibadili katiba kidogo, ili kuingia mfumo wa vyama vingi lakini sheria zetu zilibaki kuwa za mfumo wa Chama kimoja!! Na hili liko wazi
Kwanza ninaomba tuelewane, kuna haki na sheria, hivi ni vitu viwili tofauti, ila sheria zinawekwa ili kutoa haki. Tanzania inaongozwa na sheria mama ambayo ni katiba ya mwaka 1977, lazima uchaguzi usimamiwe na uendeshwe kwa mujibu wa sheria zetu tulizojiwekea, na tunafanya hivyo, hao wote uliowataja, wakurugenzi, rais na wengine, wote hao wamepewa madaraka hayo kwa mujibu wa sheria za nchi yetu, hakuna kitu kilichokeukwa, hoja yako unaona sio haki kwa wao kusimamia kwa sababu ni wanufaika wa rais ambaye na yeye ni mgombea, hilo siwezi kukukatalia moja kwa moja, lakini hilo lipo karibu nchi zote, kwa mfano, sasa hivi Uhuru ni mgombea wa urais, lakini katiba inamruhusu kukutana na wawakilishi kutoka county mbalimbali pale Ikulu ya Kenya, je hiyo ni haki?, bado ana mamlaka ya kutumia vyombo vya dola kuzuia maandamano ya wapinzani, je hiyo ni haki?, bado ana mamlaka ya kupitisha na kusaini sheria kandamizi za uchaguzi, je hiyo ni haki?, sasa ukiondoa hilo la kupinga matokeo mahakamani, nini zaidi walichotuzidi?Kama huna ushabiki basi jadili jambo hili kwa swala la haki
Uchaguzi unasimamiwa na wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilaya, akishirikiana na watumishi walio chini yake, ambao wote ni wateule na wanufafaika wa mh. Rais aliyepo!! Na wakati huo, Rais na na Chama chake ni washiriki wa chaguzi hizo dhidi ya vyama na wagombea wengine!!! HAPA KUNA HAKI GANI KWA WAGOMBEA WENGINE?!
Lakini pili sheria zetu za uchaguzi si nzuri, zinategemea zaidi busara kuliko haki. Mfano hii ya mtu ngazi ya urais, akishatangazwa hata kama ni kwa shinikizo kutoka popote, hauwezi kuhoji popote!!! KATIKA KARNE HII???
Mambo ni mengi sana, tulibadili katiba kidogo, ili kuingia mfumo wa vyama vingi lakini sheria zetu zilibaki kuwa za mfumo wa Chama kimoja!! Na hili liko wazi
Unakimbilia kudai mlikubaliana na nani?! Yaani katiba ya msekwa unadai mlikubalia na na nani?! Nilidhani hauna ushabiki kumbe walewale!! NajutaSasa kipi kati ya hayo uliyo yataja ni kinyume na sheria au katiba yetu tuliyo kubaliana?
Tanzania hatuna matata....ukitaka yabadilike unajua taratibu za kufata...
Ahhhhaaaa Ruttashobolwa ndiye Joto la jiwe?! Fc Lumumba?! Basi bhuanaaaSasa kipi kati ya hayo uliyo yataja ni kinyume na sheria au katiba yetu tuliyo kubaliana?
Tanzania hatuna matata....ukitaka yabadilike unajua taratibu za kufata...
Ruttashobolwa niliposema tuliifanyia marekebisho katiba yetu, kuruhusu multi party democracy, hatukurekebisha na sheria zetu kufanya chaguzi zetu kuwa za huru na haki. Mwanya ulikuwapo kwenye Bunge la katiba lakini unafki wa Kikwete na marehemu Sitta umeturudisha nyuma zaidi!!! Na hili kilichowasumbua ni maslahi ya Chama na si taifa!! Pole yetuKwanza ninaomba tuelewane, kuna haki na sheria, hivi ni vitu viwili tofauti, ila sheria zinawekwa ili kutoa haki. Tanzania inaongozwa na sheria mama ambayo ni katiba ya mwaka 1977, lazima uchaguzi usimamiwe na uendeshwe kwa mujibu wa sheria zetu tulizojiwekea, na tunafanya hivyo, hao wote uliowataja, wakurugenzi, rais na wengine, wote hao wamepewa madaraka hayo kwa mujibu wa sheria za nchi yetu, hakuna kitu kilichokeukwa, hoja yako unaona sio haki kwa wao kusimamia kwa sababu ni wanufaika wa rais ambaye na yeye ni mgombea, hilo siwezi kukukatalia moja kwa moja, lakini hilo lipo karibu nchi zote, kwa mfano, sasa hivi Uhuru ni mgombea wa urais, lakini katiba inamruhusu kukutana na wawakilishi kutoka county mbalimbali pale Ikulu ya Kenya, je hiyo ni haki?, bado ana mamlaka ya kutumia vyombo vya dola kuzuia maandamano ya wapinzani, je hiyo ni haki?, bado ana mamlaka ya kupitisha na kusaini sheria kandamizi za uchaguzi, je hiyo ni haki?, sasa ukiondoa hilo la kupinga matokeo mahakamani, nini zaidi walichotuzidi?
Bado unatoa maoni ambayo sio yoteunayosema ni kweli au ni sawa, unapotoa maoni ni muhimu kuwa na taarifa sahihi kwa lile unalolisema, Kikwete hajafanya kosa lolote katika mchakato mzima wa katiba, kinachojitokeza kwako, wewe ni mkereketwa zaidi badala ya kuwa mchambuzi wa kisiasa, ukishaingiza ukereketwa unakosa umakini katika kufanfanya uchambuzi wa kina, hebu niambie tatizo gani wewe unaloliona katika mchakato mzima wa kuipata katiba mpya hadi umlaumu Kikwete?Ruttashobolwa niliposema tuliifanyia marekebisho katiba yetu, kuruhusu multi party democracy, hatukurekebisha na sheria zetu kufanya chaguzi zetu kuwa za huru na haki. Mwanya ulikuwapo kwenye Bunge la katiba lakini unafki wa Kikwete na marehemu Sitta umeturudisha nyuma zaidi!!! Na hili kilichowasumbua ni maslahi ya Chama na si taifa!! Pole yetu
Huyo ndiye alieivuruga katiba mpya alipoenda kulizindua Bunge hilo. Alipolazimisha Warioba atangulie na kisha yeye atoke nyuma na kupondea rasimu kwa ujumla wake. Na wabunge wa ccm kama unavyowajuwa, hawana usemi juu ya Rais wao, wao ni kuitika ndiyooooo hata kama jambo la kukwamisha taifa. Bahati mbaya kuanzia hapo wajumbe waligawanyika, na kuhakikisha wanakwamisha so here we are!!Bado unatoa maoni ambayo sio yoteunayosema ni kweli au ni sawa, unapotoa maoni ni muhimu kuwa na taarifa sahihi kwa lile unalolisema, Kikwete hajafanya kosa lolote katika mchakato mzima wa katiba, kinachojitokeza kwako, wewe ni mkereketwa zaidi badala ya kuwa mchambuzi wa kisiasa, ukishaingiza ukereketwa unakosa umakini katika kufanfanya uchambuzi wa kina, hebu niambie tatizo gani wewe unaloliona katika mchakato mzima wa kuipata katiba mpya hadi umlaumu Kikwete?
Kwani Tanzania kuna wapinzani?? Ama wachumia tumbo!!?? Kumbuka movie ya Chadema na Mhe. Lowassa!!Tz ipi hii ambayo viongozi wake wako radhi kupiga selfie wakipatanisha nje, na kualika wapinzani wa nje kuwafanyia tafrija, lakini hawawezi kukaa na wapinzani wa ndani, kujadili mustakbali wa nchi yetu!!! Hii ambayo mwenyekiti wa A anateua makamishna wa uchaguzi na mwenyekiti wao?! Hii ambayo mwenyekiti huyo anateua wakuu wa wilaya, mkoa, vyombo vya dola???!!! Na hao wateule ni sehemu ya uchaguzi?!
Tz ni mbaya zaidi labda uwe mnufaika!!
Kukurupuka hata hujui Mada inahusu nini!!Kwani hujui sasa tunafuata katiba ya Rwanda?
$wissme
Kikwete kama mwenyekiti wa CCM wakati ule, hakuhitaji kwenda kwenye bunge ili kuwajengea msimamo wabunge wa CCM katika jambo lile, tayari wabunge wote wa CCM walikuwa wameshakubaliana kwamba wapiganie serikali mbili, kwa sababu hiyo ndiyo sera ya chama chao, kusema Kitendo cha Kikwete kwenda na kuhutubia bungeni ndicho kilichofanya wabunge wa CCM wabadili msimamo sio cha kweli na hakina mashiko yoyote, kuhusu Kikwete kumtanguliza Warioba, hilo hata mimi sikulielewa na hadi leo sijapata jibuHuyo ndiye alieivuruga katiba mpya alipoenda kulizindua Bunge hilo. Alipolazimisha Warioba atangulie na kisha yeye atoke nyuma na kupondea rasimu kwa ujumla wake. Na wabunge wa ccm kama unavyowajuwa, hawana usemi juu ya Rais wao, wao ni kuitika ndiyooooo hata kama jambo la kukwamisha taifa. Bahati mbaya kuanzia hapo wajumbe waligawanyika, na kuhakikisha wanakwamisha so here we are!!
Uwezo wako ni mdogo sana, ni aibu kujibishana na wewe, endelea kupiga domo.Humu Lumumba niwengi balaa wazee wakulazimisha maji ya mchele kuwa maziwa.
Lini Tz tukaizidi Kenya?? Kuanzia democracy had uchumi?
Tsh 1000000= Ksh 45000 huoni tofauti hapo? Lumumba punguzeni mahaba katiba ya Tz ni ya msekwa na ccm wala sio katiba ya wananchi
Kwa akili hizo hustahili kujibiwa chochote[emoji40] [emoji85]Kwani Tanzania kuna wapinzani?? Ama wachumia tumbo!!?? Kumbuka movie ya Chadema na Mhe. Lowassa!!
Tanzania ndio ina democracy nzuri kwa EACSasa East Africa nchi gani ina nafuu?! Taja hata moja !!
Kama Rais alitakiwa kuwaacha wajumbe huru, lakini alipoonyesha kutofautiana na wajumbe wa kamati aliowatuma yeye kukusanya maoni kwa wananchi, basi angalau angelifanya sirini lakini si hadharani !!Kikwete kama mwenyekiti wa CCM wakati ule, hakuhitaji kwenda kwenye bunge ili kuwajengea msimamo wabunge wa CCM katika jambo lile, tayari wabunge wote wa CCM walikuwa wameshakubaliana kwamba wapiganie serikali mbili, kwa sababu hiyo ndiyo sera ya chama chao, kusema Kitendo cha Kikwete kwenda na kuhutubia bungeni ndicho kilichofanya wabunge wa CCM wabadili msimamo sio cha kweli na hakina mashiko yoyote, kuhusu Kikwete kumtanguliza Warioba, hilo hata mimi sikulielewa na hadi leo sijapata jibu