Kamishna wa Tume ya Uchaguzi ajiuzulu, asema tume imegawanyika na inafanya kazi bila kuzingatia utaratibu

Kamishna wa Tume ya Uchaguzi ajiuzulu, asema tume imegawanyika na inafanya kazi bila kuzingatia utaratibu

Kama Rais alitakiwa kuwaacha wajumbe huru, lakini alipoonyesha kutofautiana na wajumbe wa kamati aliowatuma yeye kukusanya maoni kwa wananchi, basi angalau angelifanya sirini lakini si hadharani !!
Kuanzia hapo mpasuko umekuwa zaidi kwa wale walioitetea rasimu na wale waliomuunga mkono mwenyekiti wao.
Hayo unayosema ni maoni yako, mimi sina haki ya kuyapinga, lakini sina uhakika sana kama ni sawa, ila katika nchi ya demokrasia kila mtu ana haki ya kutoa ushauri na msimamo wake katika jambo lolote, akiwemo rais, ila haruhusiwi kuwalazimisha wapiga kura, amelifanya jambo hili Nyerere, Obama amekuwa akilofanya katika Bunge la Senate mara nyingi tu.
 
Kamishna wa Tume ya Uchaguzi Roselyn Akombe ajiuzulu, asema tume imegawanyika na inafanya kazi bila kuzingatia utaratibu

Dr. Akombe alituma taarifa kutoka New York alipokuwa akifanya kazi Umoja wa Mataifa kabla ya kwenda kufanya kazi tume ya uchaguzi

Katika taarifa hiyo Dr. Akombe alisema uchaguzi uliopangwa kufanyika hauwezi kukidhi matakwa ya uchaguzi unaoaminika

'' Kwa jinsi tume ilivyo sasa ni hakika haiwezi kutuhakikishia uchaguzi utakaoaminika tarehe 26 Oktoba. Sitaki kuwa sehemu ya dhihaka hiyo kwa uchaguzi wa kiadilifu''

Akihojiwa na shirikala utangazaji la BBC Jumatano Asubuhi, amesema amekimbilia New York akihofia usalama wa maisha yake na pia na kuongezea Mwenyekiti wa Tume hiyo, Wafula Chebukati amezingirwa

Alikuwa ni sehemu ya timu iliyokuwa isafiri kwenda Dubai kusimamia kuchapishwa kwa karatasi za uchaguzi

=============================================
IEBC commissioner Roselyn Akombe has resigned from the poll agency.

Dr Akombe sent the statement from New York, where she was based, working for the UN, before she took the job at the electoral commission.

In the statement, Dr Akombe said the repeat election as planned cannot meet the basic expectations of a credible election.
ELECTORAL INTEGRITY

"The commission in its current state can surely not guarantee a credible election on October 26. I do no want to be party to such a mockery to electoral integrity," she said.

In an interview with the BBC Wednesday morning , Dr Akombe said she went to New York fearing for her life. She said IEBC chairman Wafula Chebukati is under siege.
In her statement she said it is unacceptable for any party to disrupt, attack IEBC staff; says acts must be condemned and action taken against perpetrators.

"It broke my heart in the last few days to listen to my staff in the field, majority of whom truly want to do the right thing, express to me their safety and security concerns. I shared detailed reports from staff in four of the Counties most hit by the ongoing protests - Nairobi, Siaya, Kisumu, and Homa Bay - with the hope that this will bring sobriety to our decision making.

"Instead this was met with more extremist responses from most Commissioners, who are keen to have an election even if it is at the cost of the lives of our staff and voters," she said.

She was supposed to be part of a team that is in Dubai to monitor the printing of ballot papers.

Dr Akombe toured Nyanza and the Western region last week as the commission worked to train officers to handle elections.

Source: Daily Nation
Africa bhanah na viongozi wake....njaa kali ya madaraka....
 
Hayo unayosema ni maoni yako, mimi sina haki ya kuyapinga, lakini sina uhakika sana kama ni sawa, ila katika nchi ya demokrasia kila mtu ana haki ya kutoa ushauri na msimamo wake katika jambo lolote, akiwemo rais, ila haruhusiwi kuwalazimisha wapiga kura, amelifanya jambo hili Nyerere, Obama amekuwa akilofanya katika Bunge la Senate mara nyingi tu.
Rais alikuwa na nafasi yake kabla ya kulifikia bunge la katiba!! Na neno moja watu waelewe si kila takwa la Rais ni jambo zuri. Hebu chukulia suala la gas na mafuta!! Wenzenu walishauri angalau lisubiri huyo mtu astaafu, asilete uharaka!! Lakini walibezwa na kudharaulika na kisha kutimuliwa bungeni!! Leo tunajuta hakuna tofauti na yaliotokea kwenye madini !! Sasa hapo takwa la Rais lilikuwa na maslahi na nchi?! HAPANA RAIS ASIWE KILA KITU
 
upload_2017-10-18_12-35-25.png
upload_2017-10-18_12-35-25.png
 
Rais alikuwa na nafasi yake kabla ya kulifikia bunge la katiba!! Na neno moja watu waelewe si kila takwa la Rais ni jambo zuri. Hebu chukulia suala la gas na mafuta!! Wenzenu walishauri angalau lisubiri huyo mtu astaafu, asilete uharaka!! Lakini walibezwa na kudharaulika na kisha kutimuliwa bungeni!! Leo tunajuta hakuna tofauti na yaliotokea kwenye madini !! Sasa hapo takwa la Rais lilikuwa na maslahi na nchi?! HAPANA RAIS ASIWE KILA KITU
Kwanza ninakuomba usirukeruke wakati tinajadili mambo ya msingi kama haya, hakuna mtu yeyote aliyesema wala anayedhani kuwa rais hakosei, kwa kulijua hilo, ndiyo sababu rais kama mwananchi mwengine ana kura moja tu, ila kama rais ana nafasi na haki ya kwenda na kulihutibia bunge wakati wowote ule apendavyo, hiyo ni haki aliyonayo kisheria, wewe unadhani haikuwa wakati mzuri kwa yeye kwenda kuhutubia na kuyasema yale aliyosema pale bungeni siku ile, ninarudia tena, yeye kama rais hajavunja sheria wala kanuni yoyote ya kiuongozi, ametumia haki yake ya kikatiba, na busara zake zilimtuma aseme yale aliyosema, wewe unahisi alikosea, ni haki yako kihisi hivyo kama ambavyo ni haki yake yeye kuhisi yale maneno alipaswa kuyasema, watu wanaweza kutofautiana, lakini muhimu ni kwamba hajavunja sheria ya nchi
 
Back
Top Bottom