Kampala city Gallery

Huo mji ulikuwa mzuri sana
Vita ya kagera viliharibu mji huo
kwa hiyo tangu mwaka 1978/1979 hawahangaika kutengeneza?,Hiroshima walipigwa bomu la atomic,kama wangekuwa na mindset kama zako basi wangekuwa na sababu kubwa ziadi ya kusingizia
 
Kuzuri, very greenish, ila bado tumewapiga bao na Dar yetu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…