God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
bora tuu sasa nani angejenga hapo?? ukicheki rais wa kwanza alikua mtu wa ajabu ajabu tuu asieshaurika hadi iddi amin nae akampiga chini japo nae hakufaya kitu?? marais waliomtangulia museven waliharibu nchi amani haikuwepo bora museven kaisimamisha nchi.Miaka 30!!!!
Akina mobutu wa drc wamefanya nini zaid ya kuharibu? hata joseph kabila hajafanya na pia sio raia wa drc