KabelindeDidier
Member
- Aug 29, 2013
- 58
- 8
haha eti unasoma cell types mtu wa bachelor..duh
Kampala Int. hakina tofauti kwenye ufeki na elimu ovyoovyo kama IMTU!, sidhani kiubora wa taaluma Kampala Int inaingiza pua pale muhas au kcmcCha ziada ambacho m2 anayesoma kiu ni kwamba chuo kile ni international na sio hvi vyuo vyetu vya local
Cha ziada ambacho m2 anayesoma kiu ni kwamba chuo kile ni international na sio hvi vyuo vyetu vya local
Iilikuwa ud na udom sasa ni Kampala na Muhas na wenzake#maisha yako kasi sana kesho sijui itakuwa nani na nani.