Kampala University na St. Joseph Arusha Kufungiwa

Joined
Aug 29, 2013
Posts
58
Reaction score
8
Serikali iko mbioni kuvifungia vyuo hvo kutokana na kukosa mitaara na wataalam wakufundisha vyuo hvo.....je mda wote TCU ilikuwa wap had watu wanaliwa pesa zao na inakuwaje tcu wanapeleka wanafunzi kwenye vyuo vibovu hivo
 
ni kweli wameshaona mapungufu ila watafunika kombe mwanaharamu apite kwa kuwapa onyo tu, manake tatizo ni watakapo pelekwa hao wanafunzi wa hivyo vyuo kama kiu, pharmacy wanachukua wanafunz 200, watawapeleka wapi na kwa vyuo vya serikali ni muhimbili ndo ina pharmacy.
 
Aisee hawa TCU ni watu wa ajabu sana. Ni watu wangapi wameshagraduate kutoka kwenye hivi vyuo??? Alafu hawa wahindi wa St.Joseph ni wababaishaji wa kutupwa. Wana campus nyingi nje ya Dar es salaam, lakini mazingira ya hizo campus na mitaala ya kufundishia inayotumika ni ovyo kabisa. Yaani kama elimu imekuwa biashara kwa staili hii, tumeshapoteza uelekeo katika elimu. Why this happen???.
 
NDG hii nchi imekua shamba la bibi nasikia wanasema vijana wako kisiasa...................
kwa ST. JOSEF ARUSHA tatizo lina zaidi ya miak miwili na kuna tume za tcu zaidi ya 6 zimekuja kwa mda tofauti wakirudia matatzo yaleyale.................
Sheria za tcu ili chuo kipewe leseni moja ya vtu vya msingi ni prospectus na curriculum,competent lecterers,basic infrastructure..............
taifa lisifikie level ya kutelekeza elimu hv na wajue tulioenda uko tulienda tukijua kuna baraka za tcu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…