Kampala University ufisadi hauelezeki, tusubiri uchunguzi wa Kamati ya Bunge!

kamati ya bungee vipi nayo aijafika?mtujuze humu yaliyojili mnakawaida ya kutuambia matatizo yenu tu mkifanikiwa mnakimbia javini.
 
Ipo ivi uyo serotherapy sikuzote namwambia humu javini Kuna watu tofauti embu angalia comment zake nyingi za kuponda wenzake,nenda kwenye uzi wa st Joseph arusha angalia alivyoandika mule Yani uyu jamaa afikirii kabisa usitumie neno general kijana,serotherapy anasoma mbeya chuo fulani kipo mule hospital ya rufaa ni cha serikali anasoma diploma,wengine humu wamepita humo humo so Kua makini na comment zako za kuponda wenzako,vijana wazalendo wenye sifa za kusoma kiu na st Joseph arusha komaeni mpaka kieweleke.
 

sawa mkuuu
 
nawasiwasi na vyeti vyake,,namuombea tukutane halimashauri moja na kituo kimoja cha kaz,
 
duh vijana muna mambo?
 
Nilijua tu katika hiliswala lazima serikari yetu iusike kwakiasi kikubwa tuuu, Haiwezekani chuo kikubwa kama iko viongozi au watuwanaouskia na ukaguzi wa vyuo wasijue
 

Hebu nielewesheni, ukiomba chuo bila kupita tcu utafanyaje ili usajiliwe tcu au baada ya kumaliza unapeleka cheti mwenyewe? nipeni msaada mf. kampala univ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…