Kampala vs Open University

Strawberry

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
274
Reaction score
108
Naombeni msaada nataka kwenda kuongeza elimu wapenda hivyo nataka kujua kuhusu vyuo hivyo KIU na OUT.maana nimeona KIU ada zao zipo juu tofauti na OUT.

Ila nina mashaka na KIU kama elimu yao ni lege lege kiasi flani.embu wajuzi mnijuze jamani nisije kufanya maamuzi yatakayo nipa shida hapo mbele.
 
Asante sana.napenda OUT ila pamekaa mbali sana na kwangu.nawaza usafiri huu wa daladala.ila KIU ni jirani na kwangu lakini shida ni kiwango chao cha elimu wanayotoa huwa inanipa shaka sana.
 
Asante sana.napenda OUT ila pamekaa mbali sana na kwangu.nawaza usafiri huu wa daladala.ila KIU ni jirani na kwangu lakini shida ni kiwango chao cha elimu wanayotoa huwa inanipa shaka sana.

pole mkuu
 
Kama unataka kwa Level ya Barchelor angalia Guidebook ya TCU 2014/2015 KUNA COURSE ambazo unasoma Distance Learning kwa KIU ila ada zao ndio zipo juu,, miaka miwili au mmoja na nusu iliyopita ilikuwa na matatizo sana mpaka TCU waliingilia kati,, but kama ni Mastars unaweeza ukasoma,, though Open kipo Vizuri na kuhusu hoja ya kwa Kiwango cha Elimu is not an Issue, the issue is on how did you kick the ball,,kiwango cha chuo kinaweza kikawa kipo juu lakini wewe ukawa chini,, therefore which is which? Na woga wako wa Nauli au daladala is not an issue in dispute,, the issue is education,,,,,,Kuna watuwanatoka Chanika MWISHO wanasoma UDSM, kuna watu wanatoka Kongowe wanasoma KIU, kuna watu wanatoka Kigamboni wanasoma KIU, kuna watu wanatoka Bagamoyo na wanasoma UDSM aCHA WOGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…