Heshima kwako Malaria sugu,
Hakuna habari za namna hii hapa Arusha magari ya vyama vyote yanapita kutangaza wagombea wao watahutubu sehemu gani ya jiji la Arusha.CHADEMA watakuwa na mkutano wao Kijenge,TLP watakuwa na mkutano Krokoni eneo maharufu sana kwa kuuza mitumba.Godbless Lema anjua kutumia propaganda ili kuvuruga mkutano wa Lyimo hii si mara ya kwanza.
Kwa hiyo unataka kusem Lyimo wanachuana vikali na Bwana Lema?
Alfu Batilda yupo ICU?
CHADEMA kuitwa wazushi,waongo, waropokaji, walalamikaji siyo maneno mageni kwetu, ungetaka ukweli nenda pale Police Station maana najua uko Arusha hata hivyo utapata ukweli kwa wanafiki wenzako TBC kama watatangaza na Lema ni Mfanyabishara mzuri kama ulivyo kubari hapo juu kama ndiyo kwanini unamzalilisha kweli mfanyabisha mzuri auze ubunge kwa mil 30 badala ya zadi ya Mil 600 ambazo angezipata kwa miaka 5, acha kutufanya wajinga, huna jipya zaidi ya unafiki na chuki dhidi ya Lema,
Heshima kwako Craswise,
Acha uzushi Godbless Lema hawezi kupokelewa TLP hata kwa dakika moja anajulikana ni mfanyabiashara mzuri ndiyo maana aliuza ubunge na diwani wa upinzani mwaka 2005.
mbona imekaa kama habari ya kisanii hivi
CHADEMA kuitwa wazushi,waongo, waropokaji, walalamikaji siyo maneno mageni kwetu, ungetaka ukweli nenda pale Police Station maana najua uko Arusha hata hivyo utapata ukweli kwa wanafiki wenzako TBC kama watatangaza na Lema ni Mfanyabishara mzuri kama ulivyo kubari hapo juu kama ndiyo kwanini unamzalilisha kweli mfanyabisha mzuri auze ubunge kwa mil 30 badala ya zadi ya Mil 600 ambazo angezipata kwa miaka 5, acha kutufanya wajinga, huna jipya zaidi ya unafiki na chuki dhidi ya Lema,
hakuna haja ya kuniomba samahani wakati bado unaendelea na unafiki na chuki zako binafsi dhidi ya Lema, watu wanafatilia hivyo wanajua nani ni nani kati ya Lema na Lyimo...eti TLP imechukua wanachama 80 wa-CHADEMA!? yale yale ya CCM, wakati kuna watu walioko hapa Arusha hata hawajui kama TLP nayo imesimamisha mgombea ubunge hapa Arusha, nimesikia gari lenu la matangazo saa moja na nusu usiku linatangazo kesho mna mkutano vipi sheria inaruhusu maana tabia hii huwa naisikia kwa wezenu CCM wao ni siku nzima wana tupingia makelele, wambie wana tuboa sana, chadema tutashinda hata kama mtaunganisha nguvu TLP na CCM…tukutane tarehe 31-11-2010
Heshima kwako Crashwise,
Mkuu kwanza samahani sikujuwa kulikuwa na tafrani baina ya mgombea ubunge wa CHADEMA Bwana Godbless Lema dhidi ya watangaji[wanachama wa TLP.Ilinibidi nipige simu kwa wadau wa TLP,CHADEMA na polisi wilaya ya Arusha ili kupata ukweli wa mambo ulivyokuwa.Mkuu natumaini umenisamehe kwa kukataa kwamba hapakuwepo na purukushani uliyoileta hapa jamvini bahati mbaya hukujuwa wapo wadau waliotayari kufuatilia jambo hata kwa gharamani kiasi gani.
TLP walikuwa na maadamano makubwa kata ya Levolosi maandamano hayo yaliambatana na kuvunja tawi la CHADEMA lililozinduliwa na Bwana Lema siku za karibuni na kuripotiwa na gazeti la Mwananchi[wamebaki wanachama wasiozidi kumi,wengine 80 wamejiunga rasmi na TLP].Leo gari la matangazo la TLP lilikuwa likitangaza mkutano mwingine eneo la krokoni na kuujulisha umma juu TLP kusomba wanachama wa CHADEMA.Lema alipopelekewa habari akasomba wahuni wenzake wakiongozwa na mgombea udiwani kata ya Kaloleni rasta wakavamia gari la matangazo na kuwapiga vibaya watangazaji.Kesi ikeenda polisi kila mmoja akatoa maelezo yake ambayo yamepelekea Lema na kundi la wahuni kufunguliwa kesi ya kujeruhi,kusababisha uvunjifu wa amani na uharibifu wa vifaa mali [vifaa vya matangazo na gari la matangazo].
Habari ndiyo hiyo tuache kutoa habari za kishabiki ili kufurahisha mashabiki.
Kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihakuna haja ya kuniomba samahani wakati bado unaendelea na unafiki na chuki zako binafsi dhidi ya Lema, watu wanafatilia hivyo wanajua nani ni nani kati ya Lema na Lyimo...eti TLP imechukua wanachama 80 wa-CHADEMA!? yale yale ya CCM, wakati kuna watu walioko hapa Arusha hata hawajui kama TLP nayo imesimamisha mgombea ubunge hapa Arusha, nimesikia gari lenu la matangazo saa moja na nusu usiku linatangazo kesho mna mkutano vipi sheria inaruhusu maana tabia hii huwa naisikia kwa wezenu CCM wao ni siku nzima wana tupingia makelele, wambie wana tuboa sana, chadema tutashinda hata kama mtaunganisha nguvu TLP na CCM…tukutane tarehe 31-11-2010
Kweli Mkuu lakini kuna haja ya kufatilia hizi habari za TLP kupewa pesa na CCM ili wapate nguvu na kura za upinzani zigawanwe huku wakimchafua Lema na Chama chake..Kwa chama kinachoongozwa na mtu kama Lyatonga unategemea nini? Yuko tayari kukaa kwenye chama kibovu hata kama hakikubaliki mahala kokote ili muradi tu awe mwenyekiti wa chama.
TLP si kwamba wanatumiwa na CCM, ni kuwa wanajipendekeza wakidhani watapewa chochote na CCM. TLP ni madalali njaa wa siasa hapa nchini na ni chama cha kishenzi kama CCM. CCM ni mshenzi mkubwa na TLP ni mshenzi mdogo.
Hawa ndio wanasababisha wananchi wadhani wapinzani ni wahuni, kumbe ni vyama kama TLP vyenye mlengo wa ki CCM ndio vimejaa uhuni.
Kuna kitu MS hataki kuona. Watu wamechoka na sera mbofumbofu. CCM ikipiga kona tu wamefika mwisho.
Wameinamaaaaaaaaaaaa aaaaaah wameinuka wanaona haya haoooooooooooooooo!
hapa Arusha Chadema na CCM hawa wengine wana sindikiza tu
Kwa hiyo unataka kusem Lyimo wanachuana vikali na Bwana Lema?
Alfu Batilda yupo ICU?
Huyo Ngongo nadhani ndiye mgombea mwenyewe wa TLP. At one time alitoa post humu kuhusiana na Lema (I completely don't know the guy) kwamba ni tapeli, shule ndogo, visionless. Later on nikaja kugundua thruj himself kwamba Lema ni tishio kwenye hicho kinyang'anyiro kiasi kwamba wote CCM an TLP wanakosa usingizi.
teh tehe...malaria sugu kumbe upo, mbona hatukuona kwenye thread zenye kuhitaji umakini kujadili? Tunakuona kwemye mipasho tuu?