Kampeni dhidi ya J.M. Kikwete, I.G.P S. MWEMA, na kamanda KAMUHANDA kupelekwa I.C.C

Kampeni dhidi ya J.M. Kikwete, I.G.P S. MWEMA, na kamanda KAMUHANDA kupelekwa I.C.C

Mcheza Karate

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
690
Reaction score
350
Nimejawa na furaha ya ajabu mchanawa leo kwa mara ya kwanza nimepokea barua pepe kutoka international criminal court(ICC).

Mnamo tarehe 27/08/2013 nilituma barua pepe kwenda ICC nikiomba ufanyike uchunguzi juu ya mauaji yanayoendelea Tanzania ikihusisha jeshi letu la polisi.

Ktk kutia uzito nilituma maelezo marefu nikiambatanisha video na picha katika matukio mbalimbali kuanzia:

-Tukio la kuuawa Daudi Mwangosi, Nyororo-Iringa,jioni ya tarehe 02, septemba 2012 (niliambatanisha na picha),


-Tukio la mauaji ya Songea, polisi walipopiga risasi raia kama wanaua digidigi, tarehe 22,februari 2012 (niliambatanisha na picha),

-Mauaji ya Arusha, wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Januari 05, 2011 (niliambatanisha video),

kwa ufupi polisi kwa mwaka 2012 pekee wameua raia 20 ktk mikoa ya Ruvuma, Mara, Dar es Salaam, Morogoro na Kagera pekee.


Niliandikia kitengo cha uchunguzi nikitarajia kuwa sitojibiwa lakini nilijibiwa nikiambiwa kuwa watafanyia kazi na watanijibu. Imenipa faraja sana kwa kweli. Tumepata mwanzo mzuri.

Lakini napenda kuomba kwa wale wanaoitakia mema nchi yetu na wenye kukerwa na namna polisi walivyogeuka miungu watu, wanavyoua raia.

Tutume ujumbe wa kutosha kwenda ICC kitengo cha uchunguzi tukiomba kufanya uchunguzi kwa tuhuma za uvunjaji wa haki za binadamu/makosa dhidi ya uhalifu wa kibinadamu(crimes against humanity).

Watuhumiwa wakubwa ni Jakaya Mrisho kikwete, IGP Saidi Mwema na Kamanda Michael Kamuhanda,

Tutume ujumbe wa kutosha ili kuwaamsha ICC, Huku tukitoa vielelezo namna walivyohusika na mauaji ya raia.

Tuma vielelezo vya picha au/na maelezo kwenda kitengo cha uchunguzi wa mashtaka ICC kwa anuani hizi hapa;

Information and evidence unit office of the prosecutor, post office box 19519, 2500CM, The Hague, Netherlands.
Email: informationdesk@icc-cpi.int,
Nukushi: +(31) 705158555.


Tafadhali jitahidi kutuma pasipo kujali itikadi ya chama chako.
 
Hongera sana. Ni-pm ili unipe nakala ya barua yako na mimi niandike mara moja.
 
Kuna watu wana akli za kitoto sana...

Sitaki nikuhukumu na nakosea kukujibu, usipoteze dhamira yangu kwa kuvuruga hoja yangu. Sipo kwenye ubishani wa CHADEMA na CCM, nina mashaka juu ya uwezo wako wa kufikiri. Naomba usichangie tena. Sio lazima uchangie kila post. Jiheshimu sana.
 
Nimejawa na furaha ya ajabu mchanawa leo kwa mara ya kwanza nimepokea barua pepe kutoka international criminal court(ICC).

Mnamo tarehe 27/08/2013 nilituma barua pepe kwenda ICC nikiomba ufanyike uchunguzi juu ya mauaji yanayoendelea Tanzania ikihusisha jeshi letu la polisi.

Ktk kutia uzito nilituma maelezo marefu nikiambatanisha video na picha katika matukio mbalimbali kuanzia:

-Tukio la kuuawa Daudi Mwangosi, Nyororo-Iringa,jioni ya tarehe 02, septemba 2012 (niliambatanisha na picha),


-Tukio la mauaji ya Songea, polisi walipopiga risasi raia kama wanaua digidigi, tarehe 22,februari 2012 (niliambatanisha na picha),

-Mauaji ya Arusha, wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Januari 05, 2011 (niliambatanisha video),

kwa ufupi polisi kwa mwaka 2012 pekee wameua raia 20 ktk mikoa ya Ruvuma, Mara, Dar es Salaam, Morogoro na Kagera pekee.


Niliandikia kitengo cha uchunguzi nikitarajia kuwa sitojibiwa lakini nilijibiwa nikiambiwa kuwa watafanyia kazi na watanijibu. Imenipa faraja sana kwa kweli. Tumepata mwanzo mzuri.

Lakini napenda kuomba kwa wale wanaoitakia mema nchi yetu na wenye kukerwa na namna polisi walivyogeuka miungu watu, wanavyoua raia.

Tutume ujumbe wa kutosha kwenda ICC kitengo cha uchunguzi tukiomba kufanya uchunguzi kwa tuhuma za uvunjaji wa haki za binadamu/makosa dhidi ya uhalifu wa kibinadamu(crimes against humanity).

Watuhumiwa wakubwa ni Jakaya Mrisho kikwete, IGP Saidi Mwema na Kamanda Michael Kamuhanda,

Tutume ujumbe wa kutosha ili kuwaamsha ICC, Huku tukitoa vielelezo namna walivyohusika na mauaji ya raia.

Tuma vielelezo vya picha au/na maelezo kwenda kitengo cha uchunguzi wa mashtaka ICC kwa anuani hizi hapa;

Information and evidence unit office of the prosecutor, post office box 19519, 2500CM, The Hague, Netherlands.
Email: informationdesk@icc-cpi.int,
Nukushi: +(31) 705158555.


Tafadhali jitahidi kutuma pasipo kujali itikadi ya chama chako.
Unaweza uka declare interest zako kwanza kwenye hili Jambo, isije ikawa unataka kutu drag kwenye jambo lako binafsi! Nikimaanisha nataka kujua sababu za wewe kufanya hivi kabla na mimi sijachukua maamuzi ili kama nikiamua kufanya hili iwe ni kwa manufaa ya Taifa na siyo yako binafsi!


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sitaki nikuhukumu na nakosea kukujibu, usipoteze dhamira yangu kwa kuvuruga hoja yangu. Sipo kwenye ubishani wa CHADEMA na CCM, nina mashaka juu ya uwezo wako wa kufikiri. Naomba usichangie tena. Sio lazima uchangie kila post. Jiheshimu sana.

...achana na hayo mabwia unga,wapenda haki tunakuunga mkono songa mbele mkuu...
 
Unaweza uka declare interest zako kwanza kwenye hili Jambo, isije ikawa unataka kutu drag kwenye jambo lako binafsi! Nikimaanisha nataka kujua sababu za wewe kufanya hivi kabla na mimi sijachukua maamuzi ili kama nikiamua kufanya hili iwe ni kwa manufaa ya Taifa na siyo yako binafsi!


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

mkuu DONNYANGAKA Sina chuli binafsi na yeyote kati yao na wala sina ugomvi binafsi. Dhamira yangu kubwa ni kumobilise wanamabadiliko na wanaoitakia nchi yetu amani na demokrasia isiyo na mashaka kutangazia dunia kuwa Tanzania raia wamekuwa digidigi badala ya binadamu kwa hawa jeshi la polisi. Usiogope tuma barua yako tuiamshe ICC.
 
Last edited by a moderator:
Kama Mmeshindwa ku Summarize maoni ya watu wenu kwenye Rasimu mkaishia kupeleka Mi box 17 huko kwenye Email si ndo mtatia Aibu, eti mnahamasishana mtume kwa wingi, nan kakwambia Wingi wa Email ndo kushinda kesi? Pier Bemba ni Mpinzan wa kule Kongo lakini hivi sasa yuko nyuma ya Nondo za the Hague, bora waanze na Igizo la Arusha lililoishia kupoteza Maisha ya wapendwa wetu!
 
mkuu tungependa kujua pia tangazo hili linadhaminiwa na nani??
 
mi nadhan tufikiri vizuri kabla ya kumuunga mkono huyu jamaa
 
Nimejawa na furaha ya ajabu mchanawa leo kwa mara ya kwanza nimepokea barua pepe kutoka international criminal court(ICC).

Mnamo tarehe 27/08/2013 nilituma barua pepe kwenda ICC nikiomba ufanyike uchunguzi juu ya mauaji yanayoendelea Tanzania ikihusisha jeshi letu la polisi.

Ktk kutia uzito nilituma maelezo marefu nikiambatanisha video na picha katika matukio mbalimbali kuanzia:

-Tukio la kuuawa Daudi Mwangosi, Nyororo-Iringa,jioni ya tarehe 02, septemba 2012 (niliambatanisha na picha),


-Tukio la mauaji ya Songea, polisi walipopiga risasi raia kama wanaua digidigi, tarehe 22,februari 2012 (niliambatanisha na picha),

-Mauaji ya Arusha, wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Januari 05, 2011 (niliambatanisha video),

kwa ufupi polisi kwa mwaka 2012 pekee wameua raia 20 ktk mikoa ya Ruvuma, Mara, Dar es Salaam, Morogoro na Kagera pekee.


Niliandikia kitengo cha uchunguzi nikitarajia kuwa sitojibiwa lakini nilijibiwa nikiambiwa kuwa watafanyia kazi na watanijibu. Imenipa faraja sana kwa kweli. Tumepata mwanzo mzuri.

Lakini napenda kuomba kwa wale wanaoitakia mema nchi yetu na wenye kukerwa na namna polisi walivyogeuka miungu watu, wanavyoua raia.

Tutume ujumbe wa kutosha kwenda ICC kitengo cha uchunguzi tukiomba kufanya uchunguzi kwa tuhuma za uvunjaji wa haki za binadamu/makosa dhidi ya uhalifu wa kibinadamu(crimes against humanity).

Watuhumiwa wakubwa ni Jakaya Mrisho kikwete, IGP Saidi Mwema na Kamanda Michael Kamuhanda,

Tutume ujumbe wa kutosha ili kuwaamsha ICC, Huku tukitoa vielelezo namna walivyohusika na mauaji ya raia.

Tuma vielelezo vya picha au/na maelezo kwenda kitengo cha uchunguzi wa mashtaka ICC kwa anuani hizi hapa;

Information and evidence unit office of the prosecutor, post office box 19519, 2500CM, The Hague, Netherlands.
Email: informationdesk@icc-cpi.int,
Nukushi: +(31) 705158555.


Tafadhali jitahidi kutuma pasipo kujali itikadi ya chama chako.

Ungeweka hapa address yako ili wananchi wakuletee huo ushahidi. Pili, naomba nikuelimishe tu kitu kimoja, the ICC deals with international "core crimes" against the well-being of international community as a whole. That is a cardinal principle. The killings you are referring to would not fall under the category of "crimes against humanity" as one of the core crimes because they lack important contextual elements. The ICC does not deal with ordinary crimes such as murder. It deals with murder when it is committed as part of "widespread and systematic attacks on the population". I can tell you for sure that "crimes against humanity" have not been committed in Tanzania. What you are doing is a waste of time as the ICC cant deal with such intermittent killings. You may wish to educate yourself by reading the ICC Statute especially the elements of crimes and Article 5. The ICC Statute is available at http://www.icc-cpi.int/nr/rdonlyres/ea9aeff7-5752-4f84-be94-0a655eb30e16/0/rome_statute_english.pdf
 
Define "widespread and systematic attacks on the population" because that is what I see in all events mentioned. They didn't just shoot Mwangosi but it was a sporadic fighting of the population at Nyololo form the Police. Likewise Arusha, Morogoro, Songea etc.
 
So Hao watuhumuwa waunganishwe kesi moja na Uhuru wa Kenya
 
1. Hii inaitwa Cheka Bombastik.

2. Ongea Zaidi.

3. SMS Zaidi.

4. Peruzi Zaidi.
 
Back
Top Bottom