Uchaguzi 2020 Kampeni hata zikisimama mbona somo limekwisha eleweka?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana heshima kwenu.

Nimesikiza kipindi hiki "Meza Huru" ITV leo. Katika kipindi hiki watu mbali mbali walikuwa wakihojiwa kulingana na mwenendo wa kampeni.

Sikia mambo hapa kwa ufupi, mwelekeo mzima ndivyo hivyo ulivyo kuwa:

Your browser is not able to display this video.

Bila ya mapendeleo huyu bwana anauelewa kuliko hata Wagombea.
 
Cc: Bia yetu bado chakupimbi hataki kukulipa malimbikizo yako?
 
Bia yetu, Kawe almni ,Jingalao, Crimea, wa kudadavua wanamdai Fedha za Ujira Mr slow slow Aka chagubanga.

Chakubanga alinunua sana wabunge wa upinzani kwa kigezo cha kuunga mkono juhudi.
 
Kweli kazi imeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…