Uchaguzi 2020 Kampeni inayosambaa Iramba ni "Kumi ya Dkt. Mwigulu Yatosha"

Jimbo la iramba nadhani ndilo lenye mvuto wa uchaguzi wa mbuge Tanzania
 
Sijazungumzia jimbo nimezungumzia mkoa
Mbeya kuna mwakyembe, Arusha ni Lowasa Kilimanjaro mzee msuya
Kama mbeya mjini, Arusha mjini, kawe, Ubungo, Mikumi, Hai, Moshi mjini etc. Si kweli eeeh[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Mwigulu ni kama nembo ya singida Mkuu si rahisi kumtoa
Kila mkoa unambunge ambaye ni nembo ya mkoa fulani

Naomba unitajie Wabunge wako ambao ni Nembo ya Mikoa ya Dar es Salaam, Mara, Morogoro, Kilimanjaro, Rukwa, Tabora, Pwani na Lindi Ndugu.
 
Mtu anayeiga kampeni kwenye mawe???
 
Mwigulu ni kama nembo ya singida Mkuu si rahisi kumtoa
Kila mkoa unambunge ambaye ni nembo ya mkoa fulani
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
 
Membe asizuiwe kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM, ili Magufuli ajipime kupitia kwake namna anavyokubalika ndani ya chama chake na pia kuonesha demokrasia kama kweli ipo huko.
Kwa hiyo watakiri kweli kuwa hawajamfukuza?
 
No one knows what the future holds.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…