Uchaguzi 2020 Kampeni: Kama una hofu ya Mungu na kama umechoshwa na dhuluma tarehe 28 Oktoba chagua wagombea wa CHADEMA na washirika wao

Mungu humuinua Mwenye haki na anaemtumania yeye kama Mwokozi na mponyaji wake.

Hili limeonekana Miezi Minne iliyopita ndani J.P.Magufuli
hakuna muuaji mwenye haki dogo...na zaidi Mungu huyo huyo unayemsemea ndio alimuokoa kutoka kwenye tundu la kifo mlilotaka kumuingiza huko, lakini Mungu akasema hapana, huyu naenda kumuinua nchini Tanzania awe Rais wa Tanzania

yule yule mliyetaka kumuua kule dodoma na damu ikagusa ardhi hii ya tanzania, ndio anaenda kua rais wa nchi..bisha upasuke kichwa..
 
Hii serikali ni dhalim Sana
Kuna masheikh wetu kwa mamia wapo jela wanateswa kinyama bila huruma kwa tuhuma za kigaidi bila kuwapeleka mahakamani
Tangu magufuli aingie madarakani Tanzania imewashikilia waislamu wengi kwa tuhuma za ugaidi kuliko Afghanistan na Iraq
Cha kushangaza wapiga kura wengi wa magufuli ni waislamu wenzangu inauma Sana
 
 

Attachments

Muogope mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…