Kampeni ku'unfollow wasanii wanaonunulika na vyama vya siasa


Alikuwa anasubiriwa Diamond tu. Shameful.
 

Nahisi uwezo wako wa kufikiri hata nyumbu anakuzidi, acha kuendeshwa na mihemko ya kisiasa ww kwenye kazi za watu, ukiona wamekuboa kwasababu wametumika CCM, tazama na kusikiliza wasanii wanaotumika Ukawa
 
Niku Unfollow tu, hakuna namna nyingine kwa wasanii njaa kama hawa!!
 
watumie km raia sio kupiga show na kuweka vionjo vya vyama.wamuulize marlaw
 
Haina haja ya ku unfollow wataangukia pua kama mallow.
 

Whaooooo umesema kweli, imeniingia sasa.
 

Tulio na akili timamu wote tunakuunga mkono mkuu.
 
Hahahaha vipi wakina wolper,prof Jay, aunty ezekieli, juma nature.......nao umewa unfollow au kisa wao ni chadema

My take ; me naona wametumia haki yao kikatiba.......so siungi mkono hoja
WanaCHADEMA wengi akili zimekaa kushoto.....................
 

Ndugu NEPI ww ni mpumbafu sana.
 
Unfollow wasanii kunuka woote waliokubali kushinikizwa na mabosi wamiliki wa MEDIA kuunga mkono hata wanasiasa wasiowakubali.

Unfollow wasanii waoga!! Unfollow wasanii waliounda umoja FEKI mlimani city ili kubeba mgombea Urais!!

UNFOLLOW!!
 
Nao ni wananchi mkikaa mashuleni na makazini mnashabikia chama na wao why wasifanye hivyo.

Uhuru kwa kila mtu na maisha yake. Kazi huko siasa hukoooooo

Umeona nawao wanahaki
 

Usinichekeshe mbona Mbowe kanunuliwa fanya utakavyo haiwapotezei kt kwan ww nani hujulikani popote
 
Tutawakataa tu!! Maboya hawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…