TANGAZO KWA UMMA; Habari hii imekuja kufuati DIAMOND kuonyesha mapenzi yake kwa CCM, lakini wasanii kama Prof jay, Afande sele, na mh Sugu wao kuonyesha mapenzi yao CDM na A.C.T si tatizo. Hakika wewe kijana ni NEMBO YA TAIFA ULIFANYALO LOLOTE NI MJADALA WA TAIFA.
Wasalaam wana Jf,
Nikiwa kama raia ambaye ili nipunguze 'stress' za kila siku za kimaisha, nahitaji burudani mbalimbali! Mojawapo ya burudani ni muziki na maigizo. Nimesikitishwa na wengi wa wasanii wa muziki na maigizo kuonyesha misimamo yao ya kisiasa waziwazi kwenye kurasa zao za mitandao na hasa Instagram!
Nikiwa kama shabiki mwenye msimamo wangu katika siasa nimesikitishwa kwa kiasi kikubwa na jambo hili.Sio shida kwa kila mtu kushabikia chama akitakacho lakini kwa wingi huu wa wasanii ambao juzi tu tuliwaona Mlimani city walikotwambia kuwa wameandaa sherehe ya kumuaga Kikwete am ambapo ilitumika kisiasa, tunaamini kuwa WAMENUNULIKA!
Binafsi kwa kipindi hiki nimeamua kuwa "UNFOLOW" wasanii wote wanaoonyesha mihemko yao kipindi hiki cha kampeni mpaka uchaguzi utakapoisha na ningependa muungaane na mimi kukataa wasanii hawa kutumika kisiasa katika kipindi hiki kwa kuwa UNFOLOW Instagram na Facebook!
TANGAZO KWA UMMA; Habari hii imekuja kufuati DIAMOND kuonyesha mapenzi yake kwa CCM, lakini wasanii kama Prof jay, Afande sele, na mh Sugu wao kuonyesha mapenzi yao CDM na A.C.T si tatizo. Hakika wewe kijana ni NEMBO YA TAIFA ULIFANYALO LOLOTE NI MJADALA WA TAIFA.
Wasalaam wana Jf,
Nikiwa kama raia ambaye ili nipunguze 'stress' za kila siku za kimaisha, nahitaji burudani mbalimbali! Mojawapo ya burudani ni muziki na maigizo. Nimesikitishwa na wengi wa wasanii wa muziki na maigizo kuonyesha misimamo yao ya kisiasa waziwazi kwenye kurasa zao za mitandao na hasa Instagram!
Nikiwa kama shabiki mwenye msimamo wangu katika siasa nimesikitishwa kwa kiasi kikubwa na jambo hili.Sio shida kwa kila mtu kushabikia chama akitakacho lakini kwa wingi huu wa wasanii ambao juzi tu tuliwaona Mlimani city walikotwambia kuwa wameandaa sherehe ya kumuaga Kikwete am ambapo ilitumika kisiasa, tunaamini kuwa WAMENUNULIKA!
Binafsi kwa kipindi hiki nimeamua kuwa "UNFOLOW" wasanii wote wanaoonyesha mihemko yao kipindi hiki cha kampeni mpaka uchaguzi utakapoisha na ningependa muungaane na mimi kukataa wasanii hawa kutumika kisiasa katika kipindi hiki kwa kuwa UNFOLOW Instagram na Facebook!
WanaCHADEMA wengi akili zimekaa kushoto.....................Hahahaha vipi wakina wolper,prof Jay, aunty ezekieli, juma nature.......nao umewa unfollow au kisa wao ni chadema
My take ; me naona wametumia haki yao kikatiba.......so siungi mkono hoja
Wasalaam wana Jf,
Nikiwa kama raia ambaye ili nipunguze 'stress' za kila siku za kimaisha, nahitaji burudani mbalimbali! Mojawapo ya burudani ni muziki na maigizo. Nimesikitishwa na wengi wa wasanii wa muziki na maigizo kuonyesha misimamo yao ya kisiasa waziwazi kwenye kurasa zao za mitandao na hasa Instagram!
Nikiwa kama shabiki mwenye msimamo wangu katika siasa nimesikitishwa kwa kiasi kikubwa na jambo hili.Sio shida kwa kila mtu kushabikia chama akitakacho lakini kwa wingi huu wa wasanii ambao juzi tu tuliwaona Mlimani city walikotwambia kuwa wameandaa sherehe ya kumuaga Kikwete am ambapo ilitumika kisiasa, tunaamini kuwa WAMENUNULIKA!
Binafsi kwa kipindi hiki nimeamua kuwa "UNFOLOW" wasanii wote wanaoonyesha mihemko yao kipindi hiki cha kampeni mpaka uchaguzi utakapoisha na ningependa muungaane na mimi kukataa wasanii hawa kutumika kisiasa katika kipindi hiki kwa kuwa UNFOLOW Instagram na Facebook!
Nao ni wananchi mkikaa mashuleni na makazini mnashabikia chama na wao why wasifanye hivyo.
Uhuru kwa kila mtu na maisha yake. Kazi huko siasa hukoooooo
Wasalaam wana Jf,
Nikiwa kama raia ambaye ili nipunguze 'stress' za kila siku za kimaisha, nahitaji burudani mbalimbali! Mojawapo ya burudani ni muziki na maigizo. Nimesikitishwa na wengi wa wasanii wa muziki na maigizo kuonyesha misimamo yao ya kisiasa waziwazi kwenye kurasa zao za mitandao na hasa Instagram!
Nikiwa kama shabiki mwenye msimamo wangu katika siasa nimesikitishwa kwa kiasi kikubwa na jambo hili.Sio shida kwa kila mtu kushabikia chama akitakacho lakini kwa wingi huu wa wasanii ambao juzi tu tuliwaona Mlimani city walikotwambia kuwa wameandaa sherehe ya kumuaga Kikwete am ambapo ilitumika kisiasa, tunaamini kuwa WAMENUNULIKA!
Binafsi kwa kipindi hiki nimeamua kuwa "UNFOLOW" wasanii wote wanaoonyesha mihemko yao kipindi hiki cha kampeni mpaka uchaguzi utakapoisha na ningependa muungaane na mimi kukataa wasanii hawa kutumika kisiasa katika kipindi hiki kwa kuwa UNFOLOW Instagram na Facebook!