Uchaguzi 2020 Kampeni Mbagala Lissu aandaliwe vyema

Viongozi waliofanya hivyo wanatakiwa kuwajibishwa. Mbowe anatakiwa aachie uenyekiti
Ninaamini agenda kuu itakuwa msimamo wa chama juu ya wagonbea waliokatwa hivyo hivyo kunyang'anywa haki zao za kushiriki/kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2020.

Chama hakuwezi kuendelea na kampeini wakati wagombea wake wa ubunge zaidi ya 60 wameenguliwa na wagonbea udiwani zaidi ya 600 wameenguliwa pasipo haki kutendeka.
 
EL bana alikuja tanga kule uwaja wa Ocean road aisee mzee kaja dakika tano tu kashuka ni mwendo wa peoplez power
Pesa yake ndio ilikuwa inakubalika sio sura kama ya Lisu

Watu kuimba kwa nguvu Hadi kuzimia slogan ya people's power lazima mtu awe kashiba barabara kashibishwa .Lowasa aliwashibisha kwanza!!! Lisu anatoa macho tu !!! Lisu anataka kuimba tu people's power huku Watu Wana njaa!!!
 
Una hoja ila unapigia mbuzi gitaa hayo yangewezekana Kama mgombea angekuwa Nyalandu huyu kichwa maji Lisu hawezi pokea ushauri
Napenda mageuzi Ila Kuna disappointment kubwa. Fikiria mapingamizi ya Lisu kwa Lipumba na madhara yake. Lipumba alishajifia kumwekea pingamizi ni kumpa pumzi. Sasa leo upo Mbagala ambako Lipumba hata akitapika watasema juice
 
Makongoro alikuja kalewa chakari akawa anasema miwani niyovaaa hoyeeee!! Badala ya kusema CCM au Magufuli hoyee!!!
 
Tundu Lissu ajaribu kuongelea issues(maswala) pasipo kutaja jina la mtu, anaweza akawa anaongelea CHADEMA watafanya nini kama wakipewa madaraka na maswala hayo yakawa ni yale yakuonesha nini kimefanyika na wao watafanya nini, in a way watakuwa wanakosoa yaliyofanyika.
 
Ndio wajipange kujua mtu sahihi wa kuzungumza. Muda sahihi na vielelezo au data kamilifu. Kiukweli Wana Mambo memgi ya msingi ya kuzungumza .Je wataweza,,,? Ikiwa mhusika mkuu alikua Polisi kufuata gari huku akijua masuala ya kipolisi hayajaisha. Ikiwa usiku usiku ndio anapuyanga Kurudi DSM. Je anataka kutoa hotuba freestyle au amekaa na wenzake wakajiandaa kwamba wewe utaomgelea hili Mimi hili huyu hili na yule lile
 
CHADEMA ijiepushe na mashambulizi kwa vyama vya upinzani hata Kama Kuna ya chinichini yabaki chini wasiwe wa Kwanza kuyaleta jukwaani.
Hakuna haja ya kumhofia mtu. Anayestahili kupigwa "nondo" apigwe tu. Nchi yetu sote hii.
 
Makongoro alikuja kalewa chakari akawa anasema miwani niyovaaa hoyeeee!! Badala ya kusema CCM au Magufuli hoyee!!!
Tuanapiga kanzu tobo .......kofia hoyeee....na wakwetu akasema namfungulia Babu Seya yaani first day hoja Babu Seya
 
Hata mimi bado nahisi kidogo tuna tatizo kwenye priority
Tume focus sana kwa mgombe urais kuliko huku chini ambako mimi nafikiri ndio mwanzo mzuri
Kwangu mimi kupata wabunge wengi zaidi na zaidi ni rahisi zaidi kuliko kutangazwa umeshinda urais
Kwenda kwenye uchaguzi huku tayari wagombea ubunge 60+ wameisha fanyiwa figisu na kuondolewa na wagombea udiwa 600+ nao wameondolewa ni hatari sana
Kama hatuna cha kufanya kwa sasa baada ya udhalimu huu sijui tutafanya nini baada ya kuibiwa na kura

Najua sio rahisi lakini lazima chama kionyeshe ukali katika hili na kwa bahati mbaya sijasikia sana walioenguliwa kimagumashi kama rufaa walikata na zinafikia wapi
 
Mkuu njoo pm
 
Well said
 
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
 
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
 
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
 
 
Mimi nilimfuata inbox Makene hajawahi kujibu mpaka leo.
 
Una hoja ila unapigia mbuzi gitaa hayo yangewezekana Kama mgombea angekuwa Nyalandu huyu kichwa maji Lisu hawezi pokea ushauri
Unampenda Nyarandu kwa vile unaona dhaifu kwa jpm kama ilivyokuwa kwa slaa
 
Kama unataka ubwabwa si unde kwa Rungwe!!
 
Kama unataka ubwabwa si unde kwa Rungwe!!
Rungwe Aweza shinda kura nyingi kuliko Lisu na ubwabwa anaotembea nao Kuna watu wanapenda ubwabwa kuliko hotuba za Lisu usione Rungwe mjinga akigawa ubwabwa watu wanampa kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…