Uchaguzi 2020 Kampeni Mbagala Lissu aandaliwe vyema

Uchaguzi 2020 Kampeni Mbagala Lissu aandaliwe vyema

Viongozi waliofanya hivyo wanatakiwa kuwajibishwa. Mbowe anatakiwa aachie uenyekiti
Mara nyingi wadau wa upinzani wametoa malalamiko mengi juu ya kupwaya kwa kitengo cha habari na mawasiliano. Mimi mwenyewe nimefanya juhudi kadhaa za kwenda inbox za Malisa Godlisten na Yericko Nyerere kuwalalamikia jinsi ambavyo idara hiyo ilivyopwaya.

Siku ya Mgombea wa CHADEMA kuweka pingamizi kwa wagombea wenzake alisema ataongea na vyombo vya habari, lilikua tukio muhimu lakini hatukulipata live wala halikutumwa kwa wakati mitandaoni.

Leo ni siku kuu na rasmi ya uzinduzi wa kampeni lakini mpaka sasa unatafuta link za kujiunga live huzioni na hata matangazo yanayoashiria tukio kubwa kwenye social media huyaoni. Ni kweli inashindikana kupata wataalam wa graphics wawili na wakawa wanawajibika kwa haya mambo 24/7 ?

Wanashindwa ku-sponse tangazo Instagram kwa dola tano tu?

Redio,TV zote hazitoi favor yoyote kwa vyama vya upinzani hasa Chadema lkn technologia imekua sana ...lkn wanashindwa kuitumia pia?

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO AMKA TAFADHALI.
Ninaamini agenda kuu itakuwa msimamo wa chama juu ya wagonbea waliokatwa hivyo hivyo kunyang'anywa haki zao za kushiriki/kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2020.

Chama hakuwezi kuendelea na kampeini wakati wagombea wake wa ubunge zaidi ya 60 wameenguliwa na wagonbea udiwani zaidi ya 600 wameenguliwa pasipo haki kutendeka.
 
EL bana alikuja tanga kule uwaja wa Ocean road aisee mzee kaja dakika tano tu kashuka ni mwendo wa peoplez power
Pesa yake ndio ilikuwa inakubalika sio sura kama ya Lisu

Watu kuimba kwa nguvu Hadi kuzimia slogan ya people's power lazima mtu awe kashiba barabara kashibishwa .Lowasa aliwashibisha kwanza!!! Lisu anatoa macho tu !!! Lisu anataka kuimba tu people's power huku Watu Wana njaa!!!
 
Una hoja ila unapigia mbuzi gitaa hayo yangewezekana Kama mgombea angekuwa Nyalandu huyu kichwa maji Lisu hawezi pokea ushauri
Napenda mageuzi Ila Kuna disappointment kubwa. Fikiria mapingamizi ya Lisu kwa Lipumba na madhara yake. Lipumba alishajifia kumwekea pingamizi ni kumpa pumzi. Sasa leo upo Mbagala ambako Lipumba hata akitapika watasema juice
 
Kuna Mambo ukiyaona na kuyasikia kwa watu unaowasapoti na CV zao huwezi kuamini na unaishia kuwa disappointed.

Hata CCM walimuandaa Makongoro kumnadi Magufuli lakini baada ya masihara yake pale Jangwani wakamtoa.Kila neno utalotoa pale Ni mjadala na ukikosea unawamaliza nguvu wanaokusapoti.
Makongoro alikuja kalewa chakari akawa anasema miwani niyovaaa hoyeeee!! Badala ya kusema CCM au Magufuli hoyee!!!
 
Ni Imani yangu CHADEMA wameshaona na kujifunza kuhusu nguvu na udhaifu wa mgombea urais wao .

Siwezi kukosoa sana kwa kuwa mgombea alikua akicheza one man show na freestyle. Sasa ni kampeni rasmi zinazinduliwa. Mgombea na chama wanapaswa kujipanga. Wasiingie Kama 2015 pale Jangwani disorganised .

Hotuba ziandaliwe kikamilifu , Kila hoja apewe mtu mwenye weledi nayo . Kwa ufupi asiachwe mgombea au wagombea pekee kuzungumzia ilani.

Waandaliwe watu makini bila kujali vyeo vyao mfano bwana Nyalandu ana uwezo wa kutuliza munkari

Msigwa anaweza amshaamsha bila kushambulia wengine hovyo.

Profesa J anaweza kusimama na Sugu ufunguzi wa jukwaaa.

CHADEMA ijiepushe na mashambulizi kwa vyama vya upinzani hata Kama Kuna ya chinichini yabaki chini wasiwe wa Kwanza kuyaleta jukwaani.

Muda utumike vizuri sio hoja ya msingi inaletwa usiku wakati hakuna utulivu.Ni afadhali mkamaliza na burudani kuliko burudani ikatawala Kisha mkamaliza na elimu, elimu elimu.

Viongozi wajue Kila anayepanda jukwaani ana Nini Cha kuongea mfano mgombea ubunge, udiwani meya wastaafu nk.Vinginevyo mtu ataweza chafua Hali ya hewa.
Tundu Lissu ajaribu kuongelea issues(maswala) pasipo kutaja jina la mtu, anaweza akawa anaongelea CHADEMA watafanya nini kama wakipewa madaraka na maswala hayo yakawa ni yale yakuonesha nini kimefanyika na wao watafanya nini, in a way watakuwa wanakosoa yaliyofanyika.
 
Ninaamini agenda kuu itakuwa msimamo wa chama juu ya wagonbea waliokatwa hivyo hivyo kunyang'anywa haki zao za kushiriki/kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2020.

Chama hakuwezi kuendelea na kampeini wakati wagonbea wake wa ubunge zaidi ya 60 wameenguliwa na wagonbea udiwani zaidi ya 600 wameenguliwa pasipo haki kutendeka.
Ndio wajipange kujua mtu sahihi wa kuzungumza. Muda sahihi na vielelezo au data kamilifu. Kiukweli Wana Mambo memgi ya msingi ya kuzungumza .Je wataweza,,,? Ikiwa mhusika mkuu alikua Polisi kufuata gari huku akijua masuala ya kipolisi hayajaisha. Ikiwa usiku usiku ndio anapuyanga Kurudi DSM. Je anataka kutoa hotuba freestyle au amekaa na wenzake wakajiandaa kwamba wewe utaomgelea hili Mimi hili huyu hili na yule lile
 
CHADEMA ijiepushe na mashambulizi kwa vyama vya upinzani hata Kama Kuna ya chinichini yabaki chini wasiwe wa Kwanza kuyaleta jukwaani.
Hakuna haja ya kumhofia mtu. Anayestahili kupigwa "nondo" apigwe tu. Nchi yetu sote hii.
 
Makongoro alikuja kalewa chakari akawa anasema miwani niyovaaa hoyeeee!! Badala ya kusema CCM au Magufuli hoyee!!!
Tuanapiga kanzu tobo .......kofia hoyeee....na wakwetu akasema namfungulia Babu Seya yaani first day hoja Babu Seya
 
Hata mimi bado nahisi kidogo tuna tatizo kwenye priority
Tume focus sana kwa mgombe urais kuliko huku chini ambako mimi nafikiri ndio mwanzo mzuri
Kwangu mimi kupata wabunge wengi zaidi na zaidi ni rahisi zaidi kuliko kutangazwa umeshinda urais
Kwenda kwenye uchaguzi huku tayari wagombea ubunge 60+ wameisha fanyiwa figisu na kuondolewa na wagombea udiwa 600+ nao wameondolewa ni hatari sana
Kama hatuna cha kufanya kwa sasa baada ya udhalimu huu sijui tutafanya nini baada ya kuibiwa na kura

Najua sio rahisi lakini lazima chama kionyeshe ukali katika hili na kwa bahati mbaya sijasikia sana walioenguliwa kimagumashi kama rufaa walikata na zinafikia wapi
 
Hata mimi bado nahisi kidogo tuna tatizo kwenye priority
Tume focus sana kwa mgombe urais kuliko huku chini ambako mimi nafikiri ndio mwanzo mzuri
Kwangu mimi kupata wabunge wengi zaidi na zaidi ni rahisi zaidi kuliko kutangazwa umeshinda urais
Kwenda kwenye uchaguzi huku tayari wagombea ubunge 60+ wameisha fanyiwa figisu na kuondolewa na wagombea udiwa 600+ nao wameondolewa ni hatari sana
Kama hatuna cha kufanya kwa sasa baada ya udhalimu huu sijui tutafanya nini baada ya kuibiwa na kura

Najua sio rahisi lakini lazima chama kionyeshe ukali katika hili na kwa bahati mbaya sijasikia sana walioenguliwa kimagumashi kama rufaa walikata na zinafikia wapi
Mkuu njoo pm
 
Ni Imani yangu CHADEMA wameshaona na kujifunza kuhusu nguvu na udhaifu wa mgombea urais wao .

Siwezi kukosoa sana kwa kuwa mgombea alikua akicheza one man show na freestyle. Sasa ni kampeni rasmi zinazinduliwa. Mgombea na chama wanapaswa kujipanga. Wasiingie Kama 2015 pale Jangwani disorganised .

Hotuba ziandaliwe kikamilifu , Kila hoja apewe mtu mwenye weledi nayo . Kwa ufupi asiachwe mgombea au wagombea pekee kuzungumzia ilani.

Waandaliwe watu makini bila kujali vyeo vyao mfano bwana Nyalandu ana uwezo wa kutuliza munkari

Msigwa anaweza amshaamsha bila kushambulia wengine hovyo.

Profesa J anaweza kusimama na Sugu ufunguzi wa jukwaaa.

CHADEMA ijiepushe na mashambulizi kwa vyama vya upinzani hata Kama Kuna ya chinichini yabaki chini wasiwe wa Kwanza kuyaleta jukwaani.

Muda utumike vizuri sio hoja ya msingi inaletwa usiku wakati hakuna utulivu.Ni afadhali mkamaliza na burudani kuliko burudani ikatawala Kisha mkamaliza na elimu, elimu elimu.

Viongozi wajue Kila anayepanda jukwaani ana Nini Cha kuongea mfano mgombea ubunge, udiwani meya wastaafu nk.Vinginevyo mtu ataweza chafua Hali ya hewa.
Well said
 
Tundu Lissu ajaribu kuongelea issues(maswala) pasipo kutaja jina la mtu, anaweza akawa anaongelea CHADEMA watafanya nini kama wakipewa madaraka na maswala hayo yakawa ni yale yakuonesha nini kimefanyika na wao watafanya nini, in a way watakuwa wanakosoa yaliyofanyika.
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
 
Tundu Lissu ajaribu kuongelea issues(maswala) pasipo kutaja jina la mtu, anaweza akawa anaongelea CHADEMA watafanya nini kama wakipewa madaraka na maswala hayo yakawa ni yale yakuonesha nini kimefanyika na wao watafanya nini, in a way watakuwa wanakosoa yaliyofanyika.
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
 
Tundu Lissu ajaribu kuongelea issues(maswala) pasipo kutaja jina la mtu, anaweza akawa anaongelea CHADEMA watafanya nini kama wakipewa madaraka na maswala hayo yakawa ni yale yakuonesha nini kimefanyika na wao watafanya nini, in a way watakuwa wanakosoa yaliyofanyika.
Mkuu CDM haijawahi kushika dola so haina cha kueleza imefanya nini
Nchi yetu ni masikini sana na kwa miaka yoote ccm imetawala na kutufikisha hapa
Kazi ya CDM kubwa ni kueleza madhaifu ya ccm na kisha kumalizia itafanya nini

Ni lazima kwanza umuue mpinzani wako kwenye weakness yake tena unapiga kweli kweli halafu unamalizia wewe ndio chama sahihi utafuta hizo weakness

Walio wengi mnataka eti cdm wakae wanaongea watakachofanya kwa asilimia kubwa ya kampeni......nope
Cdm wakisema ccm wezi hawajafanya hiki na kile tafsiri yake nyepesi ni kwamba mimi sio mwizi na nitafanya hiki na kile

So ccm wakae kwa kutulia dozi iwaingie
Wao wana yao pia ya kueleza
 
Tundu Lissu ajaribu kuongelea issues(maswala) pasipo kutaja jina la mtu, anaweza akawa anaongelea CHADEMA watafanya nini kama wakipewa madaraka na maswala hayo yakawa ni yale yakuonesha nini kimefanyika na wao watafanya nini, in a way watakuwa wanakosoa yaliyofanyika.
 
Mara nyingi wadau wa upinzani wametoa malalamiko mengi juu ya kupwaya kwa kitengo cha habari na mawasiliano. Mimi mwenyewe nimefanya juhudi kadhaa za kwenda inbox za Malisa Godlisten na Yericko Nyerere kuwalalamikia jinsi ambavyo idara hiyo ilivyopwaya.

Siku ya Mgombea wa CHADEMA kuweka pingamizi kwa wagombea wenzake alisema ataongea na vyombo vya habari, lilikua tukio muhimu lakini hatukulipata live wala halikutumwa kwa wakati mitandaoni.

Leo ni siku kuu na rasmi ya uzinduzi wa kampeni lakini mpaka sasa unatafuta link za kujiunga live huzioni na hata matangazo yanayoashiria tukio kubwa kwenye social media huyaoni. Ni kweli inashindikana kupata wataalam wa graphics wawili na wakawa wanawajibika kwa haya mambo 24/7 ?

Wanashindwa ku-sponse tangazo Instagram kwa dola tano tu?

Redio,TV zote hazitoi favor yoyote kwa vyama vya upinzani hasa Chadema lkn technologia imekua sana ...lkn wanashindwa kuitumia pia?

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO AMKA TAFADHALI.
Mimi nilimfuata inbox Makene hajawahi kujibu mpaka leo.
 
Una hoja ila unapigia mbuzi gitaa hayo yangewezekana Kama mgombea angekuwa Nyalandu huyu kichwa maji Lisu hawezi pokea ushauri
Unampenda Nyarandu kwa vile unaona dhaifu kwa jpm kama ilivyokuwa kwa slaa
 
Pesa yake ndio ilikuwa inakubalika sio sura kama ya Lisu

Watu kuimba kwa nguvu Hadi kuzimia slogan ya people's power lazima mtu awe kashiba barabara kashibishwa .Lowasa aliwashibisha kwanza!!! Lisu anatoa macho tu !!! Lisu anataka kuimba tu people's power huku Watu Wana njaa!!!
Kama unataka ubwabwa si unde kwa Rungwe!!
 
Kama unataka ubwabwa si unde kwa Rungwe!!
Rungwe Aweza shinda kura nyingi kuliko Lisu na ubwabwa anaotembea nao Kuna watu wanapenda ubwabwa kuliko hotuba za Lisu usione Rungwe mjinga akigawa ubwabwa watu wanampa kura
 
Back
Top Bottom