Pre GE2025 Kampeni meneja wa Rais 2025 awe Humphrey Polepole, Luhaga Mpina, prof. Kitila Mkumbwa na Ally Bashiru

Pre GE2025 Kampeni meneja wa Rais 2025 awe Humphrey Polepole, Luhaga Mpina, prof. Kitila Mkumbwa na Ally Bashiru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pole pole utoto mwingi, anaweza kuanza kukata mauno wakati wenzake wanasubiri aje afanye presentation,

Luhaga mpina ana stress sana, na ameshafanya maandalizi kuhamia chadema. Pia mgombea ubunge mwenzake wa 2020 amemchukulia mganga. Hii ni baada ya mpina kukataa kumpa mganga hela yake ya kumuosha dawa njia panda saba saa nane usiku hapo jimboni.

Kitila Mkumbo jimbo lake linatosha kumpa kisukari na presha.

Bashiru bado mchanga sana kwenye kusuka mipango, halafu bado ni wa kule msibani
 
Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.

Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.

Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana

Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.

Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).

Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?

1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.

Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.

Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha

By mwinjilist Gabeji.
Kitila 𝕄𝕜𝕦𝕞𝕓𝕨𝕒 𝕟𝕚 𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕡𝕚 𝕙𝕦𝕪𝕠 𝕞𝕓𝕠𝕟𝕒 𝕛𝕚𝕟𝕒 𝕛𝕚𝕡𝕪𝕒?
 
Kwa hiyo tufanyaje
Hao wote uliowataja na ambao hujawawataja ikiwemo rais mwenyewe, hakuna chochote wanachotegemea zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi. Hakuna cha ujenzi wa hoja wala nini.

Pole pole utoto mwingi, anaweza kuanza kukata mauno wakati wenzake wanasubiri aje afanye presentation,

Luhaga mpina ana stress sana, na ameshafanya maandalizi kuhamia chadema. Pia mgombea ubunge mwenzake wa 2020 amemchukulia mganga. Hii ni baada ya mpina kukataa kumpa mganga hela yake ya kumuosha dawa njia panda saba saa nane usiku hapo jimboni.

Kitila Mkumbo jimbo lake linatosha kumpa kisukari na presha.

Bashiru bado mchanga sana kwenye kusuka mipango, halafu bado ni wa kule msibani
Unamshuri nn Rais mkuu
 
Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.

Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.

Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana

Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.

Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).

Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?

1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.

Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.

Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha

By mwinjilist Gabeji.
Mpina huyu huyu waliomtimua bungeni?
 
Recycling kama kawaida ina maana hawa chawa wote wanaokesha hapa hawana kiwango cha hizo kazi? Nashauri angalau tlalalalah ana busara kuna mida akawakilishe au yohana
 
Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.

Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.

Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana

Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.

Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).

Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?

1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.

Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.

Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha

By mwinjilist Gabeji.
Mameneja wana sifa ila watakayemnadi hana hizo sifa, WaTz si wajinga kiasi hicho! 4R zinafanya kazi gani mpaka sasa, ni geresha tu. Unaona amewakumbatia mpaka sasa ndio wanaofanana naye!
 
Hao wote uliowataja na ambao hujawawataja ikiwemo rais mwenyewe, hakuna chochote wanachotegemea zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi. Hakuna cha ujenzi wa hoja wala nini.

..tatizo Mama Abduli ndiye mgombea asiye na uwezo, mvuto, wala ushawishi, kuliko wote waliowahi kusimamishwa na Ccm.

..Hata uweke kampeni Meneja mwenye uwezo wa malaika, tatizo liko palepale kwamba mgombea wa Ccm ni mbovu.

..Na Dr.Mipango ndiyo kabisa, yeye ni mtu wa kalamu na makaratasi huko kwenye majukwaa na mavumbi sio mahali pake.
 
Maza hana mvuto

..hawezi kujenga hoja pia.

..Mama Samia hawezi kushindana na mgombea wa upinzani aliyewezeshwa kifedha, na kirasilimali, sawa na Ccm.

..huyu Mama akashinda kwasababu ana fedha nyingi za kampeni, wasanii, na vyombo vya dola, sio kwasababu ni mwanasiasa na kiongozi mahiri.
 
..hawezi kujenga hoja pia.

..Mama Samia hawezi kushindana na mgombea wa upinzani aliyewezeshwa kifedha, na kirasilimali, sawa na Ccm.

..huyu Mama akashinda kwasababu ana fedha nyingi za kampeni, wasanii, na vyombo vya dola, sio kwasababu ni mwanasiasa na kiongozi mahiri.
Ndiyo anachotegemea
 
Shi

Shida ndo hiyo ,watanzania wengi MKO vzr sana kwa matusi na sio hoja, taifa linapitia wakati ngumu sana
Ni lini kwani Taifa liliwahi pitia kwenye wakati rahisi sana?
 
Si alishasema anapumzika 2025 kutokana na umri umeenda?
Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.

Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.

Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana

Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.

Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).

Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?

1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.

Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.

Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha

By mwinjilist Gabeji.
 
..hawezi kujenga hoja pia.

..Mama Samia hawezi kushindana na mgombea wa upinzani aliyewezeshwa kifedha, na kirasilimali, sawa na Ccm.

..huyu Mama akashinda kwasababu ana fedha nyingi za kampeni, wasanii, na vyombo vya dola, sio kwasababu ni mwanasiasa na kiongozi mahiri.
Ndio maana anatakiwa afanye hivyo
 
Back
Top Bottom