Kitila 𝕄𝕜𝕦𝕞𝕓𝕨𝕒 𝕟𝕚 𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕡𝕚 𝕙𝕦𝕪𝕠 𝕞𝕓𝕠𝕟𝕒 𝕛𝕚𝕟𝕒 𝕛𝕚𝕡𝕪𝕒?Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.
Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.
Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana
Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.
Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).
Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?
1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.
Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.
Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha
By mwinjilist Gabeji.
Hao wote uliowataja na ambao hujawawataja ikiwemo rais mwenyewe, hakuna chochote wanachotegemea zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi. Hakuna cha ujenzi wa hoja wala nini.
Unamshuri nn Rais mkuuPole pole utoto mwingi, anaweza kuanza kukata mauno wakati wenzake wanasubiri aje afanye presentation,
Luhaga mpina ana stress sana, na ameshafanya maandalizi kuhamia chadema. Pia mgombea ubunge mwenzake wa 2020 amemchukulia mganga. Hii ni baada ya mpina kukataa kumpa mganga hela yake ya kumuosha dawa njia panda saba saa nane usiku hapo jimboni.
Kitila Mkumbo jimbo lake linatosha kumpa kisukari na presha.
Bashiru bado mchanga sana kwenye kusuka mipango, halafu bado ni wa kule msibani
Mpina huyu huyu waliomtimua bungeni?Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.
Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.
Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana
Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.
Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).
Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?
1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.
Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.
Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha
By mwinjilist Gabeji.
KinanaKwa hiyo tufanyaje
Unamshuri nn Rais mkuu
Sidhani kama yuko tayariNdio mkuu, kama Rais anataka kushinda urais
Hawa wanafiki wakubwa hawezi kushirikishwa
Mameneja wana sifa ila watakayemnadi hana hizo sifa, WaTz si wajinga kiasi hicho! 4R zinafanya kazi gani mpaka sasa, ni geresha tu. Unaona amewakumbatia mpaka sasa ndio wanaofanana naye!Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.
Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.
Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana
Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.
Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).
Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?
1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.
Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.
Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha
By mwinjilist Gabeji.
Hao wote uliowataja na ambao hujawawataja ikiwemo rais mwenyewe, hakuna chochote wanachotegemea zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi. Hakuna cha ujenzi wa hoja wala nini.
Maza hana mvuto..kampeni Meneja amemzidi uwezo mgombea wa Ccm.
..kila unayemfikiria unamuona ana uwezo na ushawishi kuliko Mama Abduli.
Maza hana mvuto
Ndiyo anachotegemea..hawezi kujenga hoja pia.
..Mama Samia hawezi kushindana na mgombea wa upinzani aliyewezeshwa kifedha, na kirasilimali, sawa na Ccm.
..huyu Mama akashinda kwasababu ana fedha nyingi za kampeni, wasanii, na vyombo vya dola, sio kwasababu ni mwanasiasa na kiongozi mahiri.
Ukae kwa kutulia.Kwa hiyo tufanyaje
Unamshuri nn Rais mkuu
Ni lini kwani Taifa liliwahi pitia kwenye wakati rahisi sana?Shi
Shida ndo hiyo ,watanzania wengi MKO vzr sana kwa matusi na sio hoja, taifa linapitia wakati ngumu sana
Rais nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Pole na heka heka za NYERERE day, huku mwenge, pamoja na kufanyia kazi mafaili mbalilimbali yanakuwepo kila siku juu ya meza Yako.
Hakika Mungu akutie nguvu na akuponye na kikohozi pamoja na mafua yaliyokutinga jana pale mwanza, bila shaka timu Yako ya usalama wa taifa jana walishindwa kuwa ajibika vizuri.
Leo pia kama kawaida yangu nakuja na ushauli juu ya kampeni maneja wa uchaguzi mkuu mwakani 2025.
Bila shaka mda umebakiwa nao mdogo sana kuelekea uchaguzi mkuu hivyo maandalizi ni muhimu sana, tena sana
Hamphrey pole pole akiwa mbele kuongoza timu ya kampeni meneja kuelekea ushindi wa uchaguzi mkuu 2025. wakisaidiwa na Luhaga mpina, na prof.kitila mkumbwa pamoja na Ally bashiru.
Rais, mwakani kama utaendelea na 4R, ni muhimu kuwachukua hawa watu wote I'li uweze kushinda asubhuhi na mapema,hawa watu mh.raisi wanaweza siasa za kimkati( strategies makers) na za juakwani( persuasive power).
Rais kwanini uwachukue hawa watu wote wanne?
1. Wote wanne wanasifa ya kuwa waadilifu, na ni wachapa Kazi sana.
2. Wote ni vijana wananguvu za kuhimili mikiki mikiki ya kuzungunga Tanzania mzima.
3. Wote wanaelement za uzalendo kiasi kwamba wananchi wengi wanavutiwa na hutuba zao majuakwani.
4. Wote wanajua kujenga hoja na kutetea hoja,za kuweza kupambana na hoja za wapinzani wako.
5. Sehemu zao wanakotoka zitasaidia kuunga mkono zaidi.
Rais kama utaamua" kuachana na 4R" Paul Makonda anakufaa kuwa timu meneja wako, mimi hili sikuungi mkono ni afazali ustafu siasa kwa sabb ya masilai mapana ya taifa letu pendwa.
Rais hawa wasipande kabisa jukwaani kwenye kampeni zako za mwakani, Paul Makonda, January Makamba, Mwigulu Nchemba, Steven Wasira, Tulia Ackson, Nape Nnauye. Rais wananchi wamewachoka sana kutokana na kauli zao na kujitukuza ni kwa ajili ya masilahi mapana ya Taifa letu. Nawasilisha
By mwinjilist Gabeji.
Ndio maana anatakiwa afanye hivyo..hawezi kujenga hoja pia.
..Mama Samia hawezi kushindana na mgombea wa upinzani aliyewezeshwa kifedha, na kirasilimali, sawa na Ccm.
..huyu Mama akashinda kwasababu ana fedha nyingi za kampeni, wasanii, na vyombo vya dola, sio kwasababu ni mwanasiasa na kiongozi mahiri.