Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Zipo kampeni nyingi sana zilizowahi kufanyika na zinafanyika Nchini juu ya utunzaji wa mazingira lakini kinachofanyika ni tofauti sana.
Watu wanatumia gharama kubwa sana kuzunguka Nchini, posho nauli n.k lakini tukiangalia kwa kina tunaona fedha inayotumika kwenye kampeni hizo ni kubwa kuliko matokeo yenyewe kutokana na uwekezaji duni wa moja kwa moja kwenye mazingira.
Tujiulize ni miti mingapi imepandwa, vyanzo vingapi vya maji vimetunzwa, uoto na viumbe wangapi wapo salama. Halafu tujiulize ni kiasi gani kinatumika kwenye kampeni ili kuona uwiano wa uwekezaji wetu na matokeo yake.
Watu wanatumia gharama kubwa sana kuzunguka Nchini, posho nauli n.k lakini tukiangalia kwa kina tunaona fedha inayotumika kwenye kampeni hizo ni kubwa kuliko matokeo yenyewe kutokana na uwekezaji duni wa moja kwa moja kwenye mazingira.
Tujiulize ni miti mingapi imepandwa, vyanzo vingapi vya maji vimetunzwa, uoto na viumbe wangapi wapo salama. Halafu tujiulize ni kiasi gani kinatumika kwenye kampeni ili kuona uwiano wa uwekezaji wetu na matokeo yake.